MillionHairs
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 803
- 406
Mkuu ile game siwezi kuisahau kwenye msimu huu...tukiwafunga Man City hapa ni sawa kuwakabidhi Chelsea ubingwa.Duh! Kweli Maureen aliumiza mtima wako.
Mkuu ile game siwezi kuisahau kwenye msimu huu...tukiwafunga Man City hapa ni sawa kuwakabidhi Chelsea ubingwa.Duh! Kweli Maureen aliumiza mtima wako.
Arsenal mkishinda hapa mna nafasi ya kuongeza ushindani pale juu....kwani kuna hizi games:
a. Loserfools vs. Shitty
b. Loserfools vs. Chelskis
Hivyo, shindeni leo....ni mara kumi Arsenal ama Chelsea washinde EPL kuliko hao Shitty na Loserfools.
Mkuu ile game siwezi kuisahau kwenye msimu huu...tukiwafunga Man City hapa ni sawa kuwakabidhi Chelsea ubingwa.
Timu ambayo haina bahati hapa Duniani ni Arsenal.
Timu ambayo inachukiwa na marefaree hapa duniani ni Arsenal.
Timu ambayo wachezaji wake hawawezi kumzonga refaree hata kama mwenzao kaonewa ni Arsenal
Timu ambayo ikishafungwa goli 2 bila wachezaji wake wote wanachanganyikiwa na kufika goli 6 ni Arsenal.
Kuipenda Arsenal yahitaji uwe na kichwa cha mwendawazimu na moyo wa chuma kama ilivyo mimi.
Mkuu niko hapa nacheck game LIVE...ila siyo siri kwa leo napenda Man City watufunge tu.mbona mshawafunga city tayari? Au wenga hajui hilo?
Mkuu niko hapa nacheck game LIVE...ila siyo siri kwa leo napenda Man City watufunge tu.
Sisemi kama Arsenal tukishinda nitachukia la hasha ila sitafurahia kabisa...naomba tutoke droo au tufungwe ili
Chelsea wakose ubingwa.
Oya wakuu vp game ina matumaini ya ushindi?
Mkuu niko hapa nacheck game LIVE...ila siyo siri kwa leo napenda Man City watufunge tu.
Sisemi kama Arsenal tukishinda nitachukia la hasha ila sitafurahia kabisa...naomba tutoke droo au tufungwe ili
Chelsea wakose ubingwa.
kwa hali ilivo ars wanaweza kupata ushindi leo
Huyu mliberari G huwa anatuboa sana mkuu, mistakes zote ye anachekacheka tu..damnThe Gunners wangekuwa wanakomaa mechi zote kma Leo. Huyu mwenye jina la kirangi jeroo ah Giroud anauzi kweli