Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal mkishinda hapa mna nafasi ya kuongeza ushindani pale juu....kwani kuna hizi games:

a. Loserfools vs. Shitty
b. Loserfools vs. Chelskis

Hivyo, shindeni leo....ni mara kumi Arsenal ama Chelsea washinde EPL kuliko hao Shitty na Loserfools.

ni nn mzee mpini ama? mbona kama umeumia sana na hizo timu mbili
 
Timu ambayo haina bahati hapa Duniani ni Arsenal.
Timu ambayo inachukiwa na marefaree hapa duniani ni Arsenal.

Timu ambayo wachezaji wake hawawezi kumzonga refaree hata kama mwenzao kaonewa ni Arsenal
Timu ambayo ikishafungwa goli 2 bila wachezaji wake wote wanachanganyikiwa na kufika goli 6 ni Arsenal.

Kuipenda Arsenal yahitaji uwe na kichwa cha mwendawazimu na moyo wa chuma kama ilivyo mimi.
 
Timu ambayo haina bahati hapa Duniani ni Arsenal.
Timu ambayo inachukiwa na marefaree hapa duniani ni Arsenal.

Timu ambayo wachezaji wake hawawezi kumzonga refaree hata kama mwenzao kaonewa ni Arsenal
Timu ambayo ikishafungwa goli 2 bila wachezaji wake wote wanachanganyikiwa na kufika goli 6 ni Arsenal.

Kuipenda Arsenal yahitaji uwe na kichwa cha mwendawazimu na moyo wa chuma kama ilivyo mimi.

mkuu hongera kwa kuwa na moyo mgumu, ndo inavotakiwa, usikate tamaa
 
mbona mshawafunga city tayari? Au wenga hajui hilo?
Mkuu niko hapa nacheck game LIVE...ila siyo siri kwa leo napenda Man City watufunge tu.
Sisemi kama Arsenal tukishinda nitachukia la hasha ila sitafurahia kabisa...naomba tutoke droo au tufungwe ili
Chelsea wakose ubingwa.
 
Mkuu niko hapa nacheck game LIVE...ila siyo siri kwa leo napenda Man City watufunge tu.
Sisemi kama Arsenal tukishinda nitachukia la hasha ila sitafurahia kabisa...naomba tutoke droo au tufungwe ili
Chelsea wakose ubingwa.

hata mi sipendi chesi wachukue ndoo, wanamaneno sana
 
Mkuu niko hapa nacheck game LIVE...ila siyo siri kwa leo napenda Man City watufunge tu.
Sisemi kama Arsenal tukishinda nitachukia la hasha ila sitafurahia kabisa...naomba tutoke droo au tufungwe ili
Chelsea wakose ubingwa.

I hate u...shindwa kabisa, game hii tukishinda tutakuwa real contender kule juu
 
ubaya wa man city hata ucheze vipi, dakika za 80 huko lazima toure akupige tuu
 
Back
Top Bottom