Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mwaka huu tunapigania ile ile nafasi ya nne,mbaya zaidi United nao wanapigania hiyo hiyo nafasi,kweli Morihno alisema kweli,Wenger ni specialist failure.
 
Mwaka huu tunapigania ile ile nafasi ya nne,mbaya zaidi United nao wanapigania hiyo hiyo nafasi,kweli Morihno alisema kweli,Wenger ni specialist failure.

Umeona..pa kwenda sijapata ila mgu moja nje..nashndwa kuvumilia
 
Kuna watu wamekimbia kabisa huku leo,anyway ngoja niwasaidie picha leo

1393692049995_lc_galleryImage_STOKE_ON_TRENT_ENGLAND_MA.JPG



1393692919880_lc_galleryImage_Arsenal_s_Mesut_Ozil_L_pr.JPG
 
Sijapata ona timu yenye mauzi kwa washabiki wake kama Arsenal...yaani hii timu nahisi ina laana kutoka kwa mashabiki wake.
Kuanzia leo' mpenzi au mshabiki yoyote wa Arsenal anaekaa na kuwaza au kufikiri eti arsenal watachukuwa ubingwa wa msimu huu basi huyo atakuwa na matatizo ya akili kichwani mwake...ukweli ni kwamba Arsenal hii haiwezi kuchukuwa ubingwa wowote! siyo FA wala ligi kuu. Bila ya kutabiri na bila ya shaka...ubingwa wa msimu huu wanabeba Man City.
 
Mwaka huu tunapigania ile ile nafasi ya nne,mbaya zaidi United nao wanapigania hiyo hiyo nafasi,kweli Morihno alisema kweli,Wenger ni specialist failure.



Teh Teh Teh

Cc Sizinga
 
Last edited by a moderator:
Sijapata ona timu yenye mauzi kwa washabiki wake kama Arsenal...yaani hii timu nahisi ina laana kutoka kwa mashabiki wake.
Kuanzia leo' mpenzi au mshabiki yoyote wa Arsenal anaekaa na kuwaza au kufikiri eti arsenal watachukuwa ubingwa wa msimu huu basi huyo atakuwa na matatizo ya akili kichwani mwake...ukweli ni kwamba Arsenal hii haiwezi kuchukuwa ubingwa wowote! siyo FA wala ligi kuu. Bila ya kutabiri na bila ya shaka...ubingwa wa msimu huu wanabeba Man City.


Cc Ng'wamapalala DullyJr
 
Last edited by a moderator:
Hawa madogo wanataka kuharibu wikend yangu aisee


Vumilia tu ndugu yng! Nafasi ya 3 ni yenu tu! Na Bado hamjatia mguu Darajani Lazima tuwapige ili tuwaache point 7 kabisa!

Tarehe 22 mwezi huu mtakuja Darajani kwa Chelsea Lazima unyongwe!
 
hii timu ina washabiki wenye roho ngumu kweli

Sio roho ngumu mkuu, ukiwa yanga yanga, simba simba, na sio kushangilia tu timu inayoshinda...(mademu wanatabia hii sana)

Sio ushabiki na upenzi wa timu uo..
 
Nhamala Ntuzu , ulemhola!.

I'm disappointed with the result but I'm not down.

Ninapenda kusahau haraka sana hii match na kuangalia mbele ya safari. Waswahili wanasema , kujikwaa siyo kuanguka!.

Nikiziangalia match tano zinazokuja, ninajisikia ujazo. I'm really pumped up for the coming five matches.

Tarehe 8 tunawakaribisha Everton kwenye uwanja wetu wa kujidai kupigania FA CUP.

harafu tarehe 11 tunasafiri kwenda German kumalizia kiporo kilichobaki na Bayern Munich,

baada ya hapo tarehe 16 tunatembea kwenda kukutana na 'punching bag' yetu ambayo inajiita The Lilywhites wanaoishi kwenye mitaa ya Wayahudi wengi.

Tarehe 22 tunaenda tunakutana na wewe unayeogozwa na Manager ambaye kila sehemu anakoenda hukorofishana na manager wengine kwa sababu anadhani yeye ni 'special one' kumbe ni stupid one,

Baadaye tarehe 29 tunamalizia na Man City kwenye uwanja wetu wa kujidai.

Kama nilivyosema, hizi match ndiyo zitakuwa kielelezo cha kufahamu position yetu mwaka huu and bear in mind, I'm excited to see that we have gone this far and even exceeded my goal.
 
......duuuhh, #Hamjazoea au?
Mliyasema hayo hayo Ohhh, fixture za Dec, mara za New year,....mkahamia fixtures za february...

Sasa imekuwa za March? Poleni zenu #Mburukenge still mwajifanya #Hamjazoea ....[smh!]


#MosKwito !
Leo tumeanza fixture ya March

Stoke 1 Arsenal 0

Next
Arsenal VS Everton

Bayern VS Arsenal

Tothenham VS Arsenal

Chelsea VS Arsenal

Arsenal VS Manchester City
 
Nhamala Ntuzu , ulemhola!.

I'm disappointed with the result but I'm not down.

Ninapenda kusahau haraka sana hii match na kuangalia mbele ya safari. Waswahili wanasema , kujikwaa siyo kuanguka!.

Nikiziangalia match tano zinazokuja, ninajisikia ujazo. I'm really pumped up for the coming five matches.

Tarehe 8 tunawakaribisha Everton kwenye uwanja wetu wa kujidai kupigania FA CUP.

harafu tarehe 11 tunasafiri kwenda German kumalizia kiporo kilichobaki na Bayern Munich,

baada ya hapo tarehe 16 tunatembea kwenda kukutana na 'punching bag' yetu ambayo inajiita The Lilywhites wanaoishi kwenye mitaa ya Wayahudi wengi.

Tarehe 22 tunaenda tunakutana na wewe unayeogozwa na Manager ambaye kila sehemu anakoenda hukorofishana na manager wengine kwa sababu anadhani yeye ni 'special one' kumbe ni stupid one,

Baadaye tarehe 29 tunamalizia na Man City kwenye uwanja wetu wa kujidai.

Kama nilivyosema, hizi match ndiyo zitakuwa kielelezo cha kufahamu position yetu mwaka huu and bear in mind, I'm excited to see that we have gone this far and even exceeded my goal.


Rafiki na ndugu yng Ng'wamapalala umeotoa maelezo mazuri ya ratiba yako Lkn uliopofika kwa Mourinho kiboko ya Wenger ukaanza km kupungukiwa hoja! Teh Teh Teh!

Ila Nimependa tu ktk hoja zako kwamba huu mwezi ndio mtajua mmefia wapi! Na umeepuka kabisa kusema Kua nyie mtachukua Ubingwa Kweli mmekata tamaa!

Na kutokana na ratiba yako na Yangu jinsi ilivyo huu mwezi ndio mwezi wangu Wa Ubingwa!

Naanza kz na Spurs next weekend then tarehe 22 nakusubiri na Wewe!

Alafu wakati ukiwa unauwana na man city! Mimi ntakua juu nimetulia nawaangalia mnavyouana huku nikiwa nimembakiza Liverpool tu!

Chelsea We Are The Champion!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Dah, kweli kuwa an Arsenal fun unatakiwa kuwa na roho ngumu. Sijui huu ulevi wa kuishabikia Arsenal niuache namna gani?
 
Back
Top Bottom