Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

kuumia kwa Gibbs...ndo mwanzo wa kuwa uchochoro upande wa kushoto...hatari sana

Hiyo inawezekana lakini Arsenal watakuwa wakiomba mapumziko yaje ili Wilshere na co wapumzike.

Wilshere amekuwa akirudi sana nyuma hivo kusababisha mashambulizi mengi ya Bayern na hiyo ndio tatizo pekee kwa sasa.
 
Sio macho yako ni tv yako ina chenga sana. Kamgusa na ile inaitwa reckless play. Lazima upigwe red lile goti lingemkuta roben tumboni.
ila sasa mbona hajamgusa jamaa au macho yangu
 
Back
Top Bottom