Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,329
- 17,855
Arsenal wameshusha tempo ya game kidogo ingawa Yaya Sanogo bado anakuwa tishio kule mbele kutokana na mipira ya pasi kutoka kati kwa Cazorla na Wilshere.
Mi.nilipenda ile tempo ya mwanzo
Arsenal wameshusha tempo ya game kidogo ingawa Yaya Sanogo bado anakuwa tishio kule mbele kutokana na mipira ya pasi kutoka kati kwa Cazorla na Wilshere.
Arsenal wameshusha tempo ya game kidogo ingawa Yaya Sanogo bado anakuwa tishio kule mbele kutokana na mipira ya pasi kutoka kati kwa Cazorla na Wilshere.
Huyu Ozil bana mechi muhimu akipewa apige penat lazima apige kwa kipa kuna mechi ya uefa hv hv nayo nalimpa kipa...Ona sasa kawatoa wenzie kwenye mchezo..
Yeye ni fundi wa pasi tu....
Kaonywa na refa aiseeOzil kapaniki sasa
Kieran Gibbs anaumia na Nacho Monreal anaingia badala yake.
Dakika ya 30
Kieran Gibbs anaumia na Nacho Monreal anaingia badala yake.
Dakika ya 30