Pennaaaalti
Pennaaaalti
Ninatamani ubao usomeke hivi mpaka full time
Arsenal FC 0 Bayen Munich 4
Dakika 90 ndiyo msema kweli!
Copy kwa lane popote pale alipo!
Manuel Neuer anapangua penalty ya Mesut Ozil ambayo alipiga kiuzembe sana.
oziiiiiil anakosa!
Ozil siku zote anakosa Penalt...sijui tatizo ni nini..
Ozil siku zote anakosa Penalt...sijui tatizo ni nini..
Wakuu mimi ni Liverpool ila Arsenal hadi muda huu wananifurahisha,,,,,,,