Am just passing time...kesho naiona mbaliiiiii
Am just passing time...kesho naiona mbaliiiiii
Umesharejea kutoka harusini??
Nimerudi mkuu...! Salama huku kwenu? Hongereni kwa jana...
Ng'wamapalalaThanks Gunners. ukwelikitugani njoo huku haraka!
Unakumbuka hili bandiko lako,
Na mimi nilikuambia hivi.
What happened!.
Ninatumaini uli bet na sasa unahesabu pounds kama nilivyokupa ushauri.
what a match gunner!. Acha nielekee kwenye Pub kupata zaidi baada ya betting yangu kuzaa jike.
Once a Gunner, Always a Gunner.
Nadhani tunatakiwa kukoncentrate ktk vikombe vya ndani then next year UEFA
Na kesho Buyern lazima akalie EmiratesUsiogope mkuu maana uwezo wa kukomaa na vikombe vyote tunao!
Hiki kitu gani hiki...Webb iwaje ana bichwa kubwa unproportional na shingo yake? Hii peleka Manure
Hiki kitu gani hiki...Webb iwaje ana bichwa kubwa unproportional na shingo yake? Hii peleka Manure