Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsene Wenger = Failure (8 trophyless seasons)

That's a simple Math equation
 
Breaking news:

Arsene Wenger has been shortlisted for next year's Nobel Prize.

Well done Professor of Failureology.
 
Hahahahh..Hapana mkuu Kukamido...Sidhani kama Gunners wana kikosi kibishi ambacho kipo tayar kuizuia Liverpool...Nimefurah kusikia kuwa Flamini amerudi ila bado kuna mapungufu mengi ambayo nadhani Liverpool watayatumia kama mwanya kuwaumiza leo...
 
Aisee kumbe kuna watu wana akili sana yaani failure alipwe £8million kwa mwaka wakati kuna wale wanaojiita sio failures wanalipwa pesa kiduchu ....... ...... ....... safi sana COYG.


BTW naona Failure maana yake ibadilishwe kwenye kamusi tutumie kamusi ya Morinyo na makuwadi wake wa Manure

Achana na mouthrinho anatapatapa sasa dat why jana kabanduliwa na Pelegrini but kaanza kumlalamikia wenger.
 
Wakuu mpo?

Naona draw ya robo fainali inafanyika muda si mrefu.

Na baada ya hapo Arsenal wanaanza na Yaya Sanogo mbele huku Mathieu Flamini akiziba pale kati.

Giroud na Cazorla wanapumzika.

Arsenal starting X1

Kipa -Fabianski walinzi- Jenkinson, Koscielny, Mertesacker, Monreal, kati kuna Flamini, Arteta, Oxlade-Chamberlain, pembeni kulia Ozil, pembeni kushoto Podolski, na mbele kuna Yaya Sanogo kama mshambuliaji.

Timu zitaingia uwanjani muda si mrefu kuanza mazoezi mepesi.
_73020426_emirates.jpg


Bado tunasubiri.
 
hapo Monreal sio pazuri lakini tuangalie gemu itakavyokuwa
Wakuu mpo.

Naona draw ya robo fainali inafanyika muda si mrefu.

Na Arsenal leo wanaanza na Yaya Sanogo mbele huku Mathieu Flamini akiziba pale kati.

Giroud na Cazorla wanapumzika.

Arsenal starting X1

Kipa -Fabianski walinzi- Jenkinson, Koscielny, Mertesacker, Monreal, kati kuna Flamini, Arteta, Oxlade-Chamberlain, pembeni kulia Ozil, pembeni kushoto Podolski, na mbele kuna Yaya Sanogo kama mshambuliaji.
 
Liverpool wao wanabadilisha wachezaji watatu kipa Jones na beki Danie Agger anaziba nafasi ya Koro Toure na kiungo Joe Allen anaziba nafasi ya Jordan Anderson atakuwa akisaidiana na Coutinho.


Liverpool starting X1 kipa Jones, mabeki Flanagan, Skrtel, Agger, na Cissokho, viungo wa kati -Gerrard, Allen, na Coutinho, na washambuliaji ni Suarez, Sterling na Sturridge.
 
upo nafasi ya ngapi mkuu?
FA je?
CAPITAL 1?

Nafasi ya 7 katika EPL. FA na LC sipo.

Lakini hilo haliondoi ukweli kwamba Arsene Wenger ni specialist in failure. To put it more clearer, Wenger is a Professsor of Failureology.

Wanna more credentials on Wenger's specialisation? Just visit Nobel Prize's website, as Wenger is amongst the shortlisted candidates for next year's prize.
 
FA cup Draw Update

Arsenal ikiwa itashinda leo watacheza robo fainali na Everton ambao wamewatoa Swansea.
 
Nzi umewacha Manu na kumshabikia Jose?
Arsene sio rahisi kumjibu Jose kwani watu hawatotofautisha nani mwenye wazimu,
Kuna timu zina pesa kutokana na mabilionea wao na kuna timu wamejaribu kuweka mfumo wa mapato kutoka ndani ya club, Jose anajaribu mind game lakini sijui kama ataweza kufika mbali hata kwenye msimu huu inawezekana kutokufika mbali pia
Nafasi ya 7 katika EPL. FA na LC sipo.

Lakini hilo haliondoi ukweli kwamba Arsene Wenger ni specialist in failure. To put it more clearer, Wenger is a Professsor of Failureology.

Wanna more credentials on Wenger's specialisation? Just visit Nobel Prize's websites, as Wenger is amongst the shortlisted candidates for next year's prize.
 
Back
Top Bottom