Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Watu wanaona kabisa wamekabwa pale golini lakini wanataka kulazimisha kutembea na mpira golini badala kujaribu mashuti nje ya kumi na nane.
 
Hongera wakuu, tungezubaa tungefanywa vibaya kama jirani zetu! Wenger alifanya mabadiliko wakati mwafaka kabisa. Naona Diaby anakaribia kuwa mwenyewe..
Happy New Year!!
 
That's what's up..Go Arsenal go,yaani lile goli la mwishoni mwa 1st half lilinidatisha kabisaa.Thanks to Ramsy and Dudu
 
Safi sana kushusha mzigo wa leo.sasa tukamfunge bolton jumatano hili tuwapandishe presha wazee wa darajani.
 
Hongera wakuu, tungezubaa tungefanywa vibaya kama jirani zetu! Wenger alifanya mabadiliko wakati mwafaka kabisa. Naona Diaby anakaribia kuwa mwenyewe..
Happy New Year!!

Jirani zetu????....wapi hao?....ooooooohps.......... MU.

Asanteni wakuu MpigaFilimbi,Balantanda, Ng'wanza Madaso, Arsene Wenger, Nemesis kwa kutupa updates.....naamini tumefaidika sana ingawa mwanzoni (kipindi cha kwanza) kiliisha tukiwa nyuma ya ngori.

Next........
Bolton Wanderers https://www.jamiiforums.com/members/nemesis.htmlhttps://www.jamiiforums.com/members/arsene-wenger.htmlhttps://www.jamiiforums.com/members/ng-wanza-madaso.htmlhttps://www.jamiiforums.com/members/balantanda.html
 
hawa watoto sio kwamba hawawezi kufunga,tatizo wanataka magoli ya kibitozi mkuu lol.heri ya mwaka mpya.

Namshukuru Mungu mkuu kwa kuvuka mwaka na kuuona mwaka mpya.Pia nawashukuru vijana kwani walitupa zawadi nzuri tu ya kuuaga mwaka na leo wametupa nyingine ya kuuanza mwaka,hope Jumatano watatupa zawadi kubwa zaidi kwa kuwafunga Bolton(mechi yetu ya kiporo) na kuvuna pointi zote 3 zitakazotuwezesha kupanda hadi nafasi ya 2 kwani tutakuwa tumewazidi Man Utd kwa pointi moja kama sikosei
 
Back
Top Bottom