Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sijapata kuona wachezaji wapumbavu tokea nimeipenda Arsenal kama Girou na Bendtner...yaani kama ningekuwa pale uwanjani alafu ninabastola basi ningemtungua Girou risasi ya kichwa...Benditner na Girou ni zaidi ya mizigo kwa Arsenal
Taratibu dada....!! Sikutegemea kama una hasira hivyo
 
Sijapata kuona wachezaji wapumbavu tokea nimeipenda Arsenal kama Girou na Bendtner...yaani kama ningekuwa pale uwanjani alafu ninabastola basi ningemtungua Girou risasi ya kichwa...Benditner na Girou ni zaidi ya mizigo kwa Arsenal

Tunamiss sana Enzi za Akina T.Henry,Wiltord,Pires n.k
Hv huyu Wenger si kocha mzoefu kwani haoni tofauti ya washambuliaji hawa sasa na wale wa Enzi za mafanikio??
Yaani Tungepata Mshambuliaji 1 tu wa uhakika hizi Points tunazodondosha kijinga tungezipata.
Naona hata midfielders wamechoka kutengeneza nafasi zisizotumiwa na Giroud.....
 
Taratibu dada....!! Sikutegemea kama una hasira hivyo

Mkuu,mimi ni ME na siyo KE...kiukweli Girou anakera hadi basi! yaani lichezaji halina ball control wala stamina yaani lipo lipo tu kama gari bovu. Nakuhakikishia kama game hii leo angekuwapo Podosinki na Walcott basi tusingekosa ushindi.
 
Mkuu,mimi ni ME na siyo KE...kiukweli Girou anakera hadi basi! yaani lichezaji halina ball control wala stamina yaani lipo lipo tu kama gari bovu. Nakuhakikishia kama game hii leo angekuwapo Podosinki na Walcott basi tusingekosa ushindi.

poldoski nae wakawaida tu tunatakiwa tuwe na mtu wakutupa matokeo mtu hatari ambae hachezei nafasi kama huyu goigoi giroud
 
Mkuu,mimi ni ME na siyo KE...kiukweli Girou anakera hadi basi! yaani lichezaji halina ball control wala stamina yaani lipo lipo tu kama gari bovu. Nakuhakikishia kama game hii leo angekuwapo Podosinki na Walcott basi tusingekosa ushindi.

Ila Yaya 'Bonoko' Sanogo si alikuwepo...angepangwa.

Bendtner ni mzuri kuliko Giroud..lol.
 
Mkuu,mimi ni ME na siyo KE...kiukweli Girou anakera hadi basi! yaani lichezaji halina ball control wala stamina yaani lipo lipo tu kama gari bovu. Nakuhakikishia kama game hii leo angekuwapo Podosinki na Walcott basi tusingekosa ushindi.

Hii mechi ya leo Imekera kuliko ya Liverpool....mkuu hata hao akina Podolski,Bendtner hawana tofauti na Giroud....
Hatuna foward wa maana yeyote waliopo ni wakupeleka Crystal Palace huko...
Ngoja tukamilishe Ratiba Next week na Bayern...
 
Tunamiss sana Enzi za Akina T.Henry,Wiltord,Pires n.k
Hv huyu Wenger si kocha mzoefu kwani haoni tofauti ya washambuliaji hawa sasa na wale wa Enzi za mafanikio??
Yaani Tungepata Mshambuliaji 1 tu wa uhakika hizi Points tunazodondosha kijinga tungezipata.
Naona hata midfielders wamechoka kutengeneza nafasi zisizotumiwa na Giroud.....
Yaani haiingii akilini Manchester hii ambayo timu kama Stoke city na Fulham wameigeuza kichwa cha mwendawazimu kwa kujifunzia kunyoa eti inakutana na timu mzuri kama Arsenal tena tupo nyumbani alafu tunadroo!!? Kweli hii ni haki?
Kwa upuuzi huu ubingwa tutaendelea kuusikia na kuusubiria hadi masiyah aka Jesus atakaporudi Duniani(kama ni kweli)
 
Hii mechi ya leo Imekera kuliko ya Liverpool....mkuu hata hao akina Podolski,Bendtner hawana tofauti na Giroud....
Hatuna foward wa maana yeyote waliopo ni wakupeleka Crystal Palace huko...
Ngoja tukamilishe Ratiba Next week na Bayern...
Mkuu,kubali au ukatae safari yetu sisi kwenye Champions league inakuja kumalizwa au kukatizwa na Bayern Munich.
Mkuu ni heri ya Poldosinki kuliko huyu kidudumtu anayeitwa Girou...yaani huyu ata akishuka leo Bongo hatakiwi Yanga wala Simba.
 
Tutawagonga msimu ujao tukiwa na Suarez badala ya donkey Giroud, timu yao haitavuta mastar wa kutumainika kwa kukosa CL

Hiyo theory yako haina substance! Kwani nimeshakueleza na kukupa mfano wa jinsi timu ambazo hazikuwa kwenye UCL, lakini zikapata wachezaji wakali. Nakupa tena mifano:

1. Suarez kwenda Loserfools,
2. Toure, Silva, Dzeko, Aguero n.k. kwenda Shitty,
3. Falcao kwenda Monaco,
4. Moura, Ibra n.k. kwenda PSG.

Arifu, mpira ni pesa siku hizi....kama pesa ipo wachezaji wakali utawapata tu...
 
Acha nijilalie zangu mie kesho niwahi ofisini...hakuna cha ubingwa msimu huu zaidi ya ngonjera zile zile za miaka nenda miaka rudi...upuuzi mtupu!?
 
Tunamiss sana Enzi za Akina T.Henry,Wiltord,Pires n.k
Hv huyu Wenger si kocha mzoefu kwani haoni tofauti ya washambuliaji hawa sasa na wale wa Enzi za mafanikio?

Vile vile kumbuka, hao unasema unawamiss, nao walikula goli 6-1 mbele ya #ManUnited huku Yorke akitupia 3!!
 
Yaani haiingii akilini Manchester hii ambayo timu kama Stoke city na Fulham wameigeuza kichwa cha mwendawazimu kwa kujifunzia kunyoa eti inakutana na timu mzuri kama Arsenal tena tupo nyumbani alafu tunadroo!!? Kweli hii ni haki?
Kwa upuuzi huu ubingwa tutaendelea kuusikia na kuusubiria hadi masiyah aka Jesus atakaporudi Duniani(kama ni kweli)

Hahahaaa umenichekesha sana mkuu.
 
Hiyo theory yako haina substance! Kwani nimeshakueleza na kukupa mfano wa jinsi timu ambazo hazikuwa kwenye UCL, lakini zikapata wachezaji wakali. Nakupa tena mifano:

1. Suarez kwenda Loserfools,
2. Toure, Silva, Dzeko, Aguero n.k. kwenda Shitty,
3. Falcao kwenda Monaco,
4. Moura, Ibra n.k. kwenda PSG.

Arifu, mpira ni pesa siku hizi....kama pesa ipo wachezaji wakali utawapata tu...

LOL Man utd hamna pesa bana angalia revenue ilivyoanguka na inavyozidi kuanguka siku zinapozidi. Mnazidi kupoteza market kwa spidi ya Duma (cheeter), Market ya Far east ndo hivyo tena inachukuliwa na Arsenal kama Study za university moja huko UK inavyoonyesha. Afu hizo timu ulizozitaja zina pesa za mafuta toka uarabuni na urusi nyie pesa inatoka ktk kuuza tiketi na bidhaa ambazo ndo hivyo tena glory hunters wa Far East na America wanazidi kuwatosa . Kina Glazers wanazidi kufilisikika timu zao haziingizi pesa ,Tampa Bay Buccaneers nasikia inakaribia kuuzwa bado nyie kwa Mchina.
PS. naona hii issue ya kukosa nafasi ya UCL inakuuma sana, maana kila nkiongelea unakuja na hiki kigezo. Piga moyo konde kaka kuna siku Man utd ndo imeshatia nanga katika nafasi ya Moyes (mid-table manager) angalia historia yake, nothing but a banter.
 
Thanks Gunner.

what a terrible game!

Nilisema mapema kuwa, kuwakosa Aaron Ramsey na Theo Walcott ni pigo kubwa sana kwetu kwa sababu hawa walikuwa mpaka wanamfanya hata Olivier Giroud aonekane ni mshambuaji hatari wakati kiuharisia ni average player ambaye hawezi hata kwenda na playing style ya Arsenal. Slow, dreadful first touch, immobile....

Kukaa hapa na kusema tungeshinda hii mechi wakati hatujashinda ni kujifariji faraja ambayo haina impact yoyote katika uharisia.

Gosh, Sijawahi kuona timu mbovu kutokea katika viunga vya mitaa ya Sir Matt Busby Way, Old Trafford kwa muda mrefu kama hii Man United ya mwaka huu lakini cha kushangaza ndiyo imeondoka kwenye viunga vyetu vya Emirates Stadium na point moja kibindoni kitu ambacho kwa Man United hii ni ushindi.

Ukiangalia na kuchunguza utagundua kuwa tulikuwa tunacheza mpira with fear of the unknown kama vile tunapambana na Man United ya Sir Alex Ferguson wakati wachezaji wa Man United pia walikuwa na wasiwasi mkubwa wa kufungwa as a result, Man United were excellent defending deep and in numbers,

Let's forget and move on kwa sababu kuna makombora Jumapili yako mbioni tena kushuka Emirates kutoka Merseyside saa 16:00 GMT kwa ajiri ya mtifuano wa FA CUP fifth round. Hata hivyo, nina uhakika hiyo mechi tutashinda.

Tukutane tena kwenye kijiwe chetu hiki Jumapili.

Once a Gunner, Always a Gunner.
 
LOL Man utd hamna pesa bana angalia revenue ilivyoanguka na inavyozidi kuanguka siku zinapozidi. Mnazidi kupoteza market kwa spidi ya Duma (cheeter), Market ya Far east ndo hivyo tena inachukuliwa na Arsenal kama Study za university moja huko UK inavyoonyesha. Afu hizo timu ulizozitaja zina pesa za mafuta toka uarabuni na urusi nyie pesa inatoka ktk kuuza tiketi na bidhaa ambazo ndo hivyo tena glory hunters wa Far East na America wanazidi kuwatosa . Kina Glazers wanazidi kufilisikika timu zao haziingizi pesa ,Tampa Bay Buccaneers nasikia inakaribia kuuzwa bado nyie kwa Mchina.
PS. naona hii issue ya kukosa nafasi ya UCL inakuuma sana, maana kila nkiongelea unakuja na hiki kigezo. Piga moyo konde kaka kuna siku Man utd ndo imeshatia nanga katika nafasi ya Moyes (mid-table manager) angalia historia yake, nothing but a banter.

Unaongea bila ushahidi wowote...United bado ni klabu tajiri ya 4 duniani, nyuma ya Bayern, Barca na Real. Kumbuka Bayern wapo hapo kwaajili ya ubingwa wa UCL last season, pamoja na mambo mengine.

United haitegemei tiketi kama chanzo kikuu cha pesa arifu. Na timu ipo vizuri financially kiasi cha kuweza kusustain msimu ujao bila ya UCL. Timu inakaribia kuingia kit deal la paundi milioni 75, hakuna timu ya UK iliyowaza hata hilo. Goons amesaini na puma paundi milioni 35. Huku United, kit maker kama nike, puma, adidas, warrior n.k. wakigombania kupata hilo deal kwa kutoa hiyo pesa. Sponsorship deals nazo zinakuja tu kwa kasi hadi Ed anapata shida kuamua ipi aiache ama aichukue.

Goons ndio mnategemea tiketi kama chanzo kikuu, ndio maana tiketi zenu ndizo aghali kuliko kokote UK.

Kukosa UCL, hakutanifanya nisiendelee kushabikia United. Hata twende Championship, nitakuwa nayo tu.
 
Back
Top Bottom