Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Alikuwa anatoa matokeo ya liverpool.Sikutegemea kama hata wewe utakuwa mzigo
Mna bahati Wenger kawabeba.Arsenal 0 Man Utd 0
Full time.!!!
Hatuna bahati tu ya kuwafunga hawa mabwana ila tumewashika angle zote
Kalale sasa, au nenda kawafariji jamaa wa nafasi ya saba kule jukwaani kwao.Mmetulia!?
Mna bahati Wenger kawabeba.
Hatuna bahati tu ya kuwafunga hawa mabwana ila tumewashika angle zote
Hawa tushawaelekeza kibla sijui tunasubiri nini kupitisha kisu!