Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kukosa UCL, hakutanifanya nisiendelee kushabikia United. Hata twende Championship, nitakuwa nayo tu

vizuri kuendelea kushabikia timu uipendayo hata ikiwa Conference ndo inavyotakiwa. Lakini kubali kuwa kukosa UCL under Moyes kuna kuuma sana Nzi
 
Kukosa UCL, hakutanifanya nisiendelee kushabikia United. Hata twende Championship, nitakuwa nayo tu

vizuri kuendelea kushabikia timu uipendayo hata ikiwa Conference ndo inavyotakiwa. Lakini kubali kuwa kukosa UCL under Moyes kuna kuuma sana Nzi
Rubaman nilistuka nikajua umekuwa United ila umesema kweli kukosa UCL inauma kweli mie nalijua hilo. Anajaribu tu kufanya ubishani yote machungu ya timu ndio inavyokuwa.
 
Rubaman nilistuka nikajua umekuwa United ila umesema kweli kukosa UCL inauma kweli mie nalijua hilo. Anajaribu tu kufanya ubishani yote machungu ya timu ndio inavyokuwa.

bora nishabikie Portsmouth kuliko kuhamia United. Jamaa inamuuma sana kukosa UCL na kwa muonekano ulivyo wataikosa kama miaka 2 hivi.
 
Huyu Giroud ni maiti kabisaaaaaa!



#MosQw !to.

hatari ni zaidi ya mait na hakika hakuna siku ambayo kaniudh zaidi ya jana maana ni wazi kuwa ilikuwa tuchukue point 3 muhimu.
But we have nothing to do coz is the only thing that we have.
.. COYG..
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Kumekucha, pamoja na kupata droo ktk mechi ya jana, kidogo nimefarijika maana tungekua na wakati mgumu zaidi iwapo tungepoteza hii mechi. Lazima tukubari kua tumekua na matokeo mabaya dhidi ya Man UTD kwa muda mrefu sana. Kuhusu ubingwa kweli bado itategemea mipango ya Mungu kwa maana timu ya ubingwa inatakiwa ishinde zile mechi ngumu hususani waliopo big four kwa kasi hii sidhani kama tutaweza kumpiga Chelsea au Man City.
 
Huyu Giroud ni maiti kabisaaaaaa!



#MosQw !to.

hatari ni zaidi ya mait na hakika hakuna siku ambayo kaniudh zaidi ya jana maana ni wazi kuwa ilikuwa tuchukue point 3 muhimu.
But we have nothing to do coz is the only thing that we have.
.. COYG..
 
Huyu Giroud ni maiti kabisaaaaaa!



#MosQw !to.

hatari ni zaidi ya mait na hakika hakuna siku ambayo kaniudh zaidi ya jana maana ni wazi kuwa ilikuwa tuchukue point 3 muhimu.
But we have nothing to do coz is the only thing that we have.
.. COYG..
 
Thanks Gunner.

what a terrible game!

Nilisema mapema kuwa, kuwakosa Aaron Ramsey na Theo Walcott ni pigo kubwa sana kwetu kwa sababu hawa walikuwa mpaka wanamfanya hata Olivier Giroud aonekane ni mshambuaji hatari wakati kiuharisia ni average player ambaye hawezi hata kwenda na playing style ya Arsenal. Slow, dreadful first touch, immobile....

Kukaa hapa na kusema tungeshinda hii mechi wakati hatujashinda ni kujifariji faraja ambayo haina impact yoyote katika uharisia.

Gosh, Sijawahi kuona timu mbovu kutokea katika viunga vya mitaa ya Sir Matt Busby Way, Old Trafford kwa muda mrefu kama hii Man United ya mwaka huu lakini cha kushangaza ndiyo imeondoka kwenye viunga vyetu vya Emirates Stadium na point moja kibindoni kitu ambacho kwa Man United hii ni ushindi.

Ukiangalia na kuchunguza utagundua kuwa tulikuwa tunacheza mpira with fear of the unknown kama vile tunapambana na Man United ya Sir Alex Ferguson wakati wachezaji wa Man United pia walikuwa na wasiwasi mkubwa wa kufungwa as a result, Man United were excellent defending deep and in numbers,

Let's forget and move on kwa sababu kuna makombora Jumapili yako mbioni tena kushuka Emirates kutoka Merseyside saa 16:00 GMT kwa ajiri ya mtifuano wa FA CUP fifth round. Hata hivyo, nina uhakika hiyo mechi tutashinda.

Tukutane tena kwenye kijiwe chetu hiki Jumapili.

Once a Gunner, Always a Gunner.

Ng'wamapalala,
Unajilisha upepo my friend. Sunday mnachezea kichapo tena.
 
Last edited by a moderator:
Ng'wamapalala,
Unajilisha upepo my friend. Sunday mnachezea kichapo tena.
My friend, let me tell you something. Haijawani kunitokea tukapoteza mechi katika maisha yangu yote ambayo nimebahatika kupata ticket ya kuona mechi kwenye uwanja wa nyumbani (Highbury and Emirates)

Kwa vile nimepata tena ticket ya mechi ya sunday, ndiyo maana nimesema hivyo na nitakukumbusha tena Jumapili hapa hapa kwenye kijiwe chetu.

You can take a bet at any betting shop!. Pesa yako haitapotea.
 
Wewe Msukuma na mpira wapi na wapi!? Wewe kuchunga ng'ombe na kucheza ngoma ya Ugobhogobho!
Bagheshiiii!

Ha ha ha haaaaa!



My friend, let me tell you something. Haijawani kunitokea tukapoteza mechi katika maisha yangu yote ambayo nimebahatika kupata ticket ya kuona mechi kwenye uwanja wa nyumbani (Highbury and Emirates)

Kwa vile nimepata tena ticket ya mechi ya sunday, ndiyo maana nimesema hivyo na nitakukumbusha tena Jumapili hapa hapa kwenye kijiwe chetu.

You can take a bet at any betting shop!. Pesa yako haitapotea.
 
hatari ni zaidi ya mait na hakika hakuna siku ambayo kaniudh zaidi ya jana maana ni wazi kuwa ilikuwa tuchukue point 3 muhimu.
But we have nothing to do coz is the only thing that we have.
.. COYG..

Ni bora YAYA SANOGO aanze kucheza huyu GILOUD ni mzigo tusipochukua ubingwa wa kumlaumu ni WENGER, huyu babu anamtafutia GILOUD namba ya World Cup kikosi cha France kwa gharama ya Arsenal kukosa ubingwa.
 
Ni bora YAYA SANOGO aanze kucheza huyu GILOUD ni mzigo tusipochukua ubingwa wa kumlaumu ni WENGER, huyu babu anamtafutia GILOUD namba ya World Cup kikosi cha France kwa gharama ya Arsenal kukosa ubingwa.


Ndoto Za watoto!
 
hatari ni zaidi ya mait na hakika hakuna siku ambayo kaniudh zaidi ya jana maana ni wazi kuwa ilikuwa tuchukue point 3 muhimu.
But we have nothing to do coz is the only thing that we have.
.. COYG..
nta kaa kimya mpka babu wenger achie ngazi.
 
Wewe Msukuma na mpira wapi na wapi!? Wewe kuchunga ng'ombe na kucheza ngoma ya Ugobhogobho!
Bagheshiiii!

Ha ha ha haaaaa!
Chu, ande goshi ulenamakoye.

Nhamala, Ule mhola kwenuko!.

Hujakumbana na Msukuma aliyeendelea ambaye anafunga redio kwente baiskeli kama car redio kwenye car dashboard!

Mimi pia nimeendelea kwa kiwango cha kuingia kwenye mechi za mpira na kushuhudia kabumbu badala ya kushuhudia mashindano ya ngoma ja bhagalu na bhagika wakati wa kiangazi.

Unenhe nale ngika.
 
Mkuu,mimi ni ME na siyo KE...kiukweli Girou anakera hadi basi! yaani lichezaji halina ball control wala stamina yaani lipo lipo tu kama gari bovu. Nakuhakikishia kama game hii leo angekuwapo Podosinki na Walcott basi tusingekosa ushindi.
Pole..siku zote najua we ni mdada...JF bhana tangu kipindi kile cha "mapouda" kule Jamhuri ya Uchina...anyway Girou is unfit for title race
 
Back
Top Bottom