Kwa mpira tunaocheza sio rahisi Arsenal kupata hata goli mbili,inawezekana lakini itakuwa maajabu ya epl
Kati tunapocheza mipira rahisi sana na nyuma ndio hivyo hakufai tunaposhindwa kwenye middle timu nzima inakuwa mbovu, na leo hatuna mtu kati
Tuombe yasiongezeke