Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mechi ya jana kama kungewa na striker mwenye uchu,kipindi cha kwanza tungepata hata magoli matano,ila giroud anaridhika sana akishnda goli 1 tu anarelax,ingekuwa man shit wale wangekula 8 au 9,wenger nunua costa au mandzukc waje kutoa changamoto
 
Mechi ya jana kama kungewa na striker mwenye uchu,kipindi cha kwanza tungepata hata magoli matano,ila giroud anaridhika sana akishnda goli 1 tu anarelax,ingekuwa man shit wale wangekula 8 au 9,wenger nunua costa au mandzukc waje kutoa changamoto
Neno.......
 
Mechi ya jana kama kungewa na striker mwenye uchu,kipindi cha kwanza tungepata hata magoli matano,ila giroud anaridhika sana akishnda goli 1 tu anarelax,ingekuwa man shit wale wangekula 8 au 9,wenger nunua costa au mandzukc waje kutoa changamoto
Neno.......
 
Mechi ya jana kama kungewa na striker mwenye uchu,kipindi cha kwanza tungepata hata magoli matano,ila giroud anaridhika sana akishnda goli 1 tu anarelax,ingekuwa man shit wale wangekula 8 au 9,wenger nunua costa au mandzukc waje kutoa changamoto

Ni kweli kabisa mkuu maaana Man City wana idadi kubwa sana ya magoli na Arsenal lazima wakumbuke hilo.
 
.....asisepe mchezo? presha tupu..

Game yao ijayo wanacheza na pensioners wa darajani!...yaani mpaka huruma.
hawajijui wala hawajitambui lakini #WatazoeaTu!

Aaah! Mkuu Tafadhari bhana hao jamaa tayari Wameshazoea so hawawezi kuzoea mara 2.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mechi ya jana kama kungewa na striker mwenye uchu,kipindi cha kwanza tungepata hata magoli matano,ila giroud anaridhika sana akishnda goli 1 tu anarelax,ingekuwa man shit wale wangekula 8 au 9,wenger nunua costa au mandzukc waje kutoa changamoto

yap upo sahihi mkuu na mimi naungana na wewe, lakini ni ukweli kuwa ni ngumu kuwapata hao wachezaji katika kipindi hiki cha usajiri kwasababu Mandzukic ndiyo mshambuliaji wa kati anayetegemewa kwa sasa na beyern wakati Costa yeye pia inakuwa ngumu kumpata kwa sasa kwasababu Atretico kwa msimu huu wapo vizuri zaidi na wanaweka upinzani mkali kwa barcelona na Madrid na Costa anahitajika sana kuendeleza makali ya timu yake na kama ni kuuzwa may be mpaka mwisho wa msimu.
But yote kwa yote Prof yeye anaamini Uwepo wa Giroud na endapo Podosk atarejea katika makali yake basi atakuwa amesolve tatizo japo ukweli utabaki pale pale kuwa kwa upande wa ushambuliaji tuna uhaba wa wachezaji.
...COYG....
 
Aaah! Mkuu Tafadhari bhana hao jamaa tayari Wameshazoea so hawawezi kuzoea mara 2.

....hahahaha, hivi ee?
No wonder wamepunguza kusogeza pua zao humu!



-Baaaaaaammmmm!-.... "Whack A Mole!" ....khekhhehhheeeee....wakichungulia tu wanalo!!!
 
Last edited by a moderator:
Match ya jana kama kungewa na striker mwenye uchu,kipindi cha kwanza tungepata hata magoli matano,ila giroud anaridhika sana akishnda goli 1 tu anarelax,ingekuwa man shit wale wangekula 8 au 9,wenger nunua costa au mandzukc waje kutoa changamoto
Mimi nadhani ni timu nzima wana relax sana na hata washabiki pia uwanjani wanakuwa kama wachezaji kwa ku-relax sana pale timu inapoanza kufunga magoli mawili kwenye timu za middle or bottom of the table.

Mimi bado nina ugonjwa wa kuwa na wasiwasi match nzima kama Ersenal ya 2009-2010-2011 ambapo tulikuwa tunafunga magoli mengi na kufungwa pia magoli mengi kwenye away matches.

Ukiangalia hii match ya Aston Villa utagundua kuwa baada ya sisi kufunga magoli mawili within a minute, timu nzima ika relax na kuanza kucheza fancy football badala ya kutaka kuongeza magoli mengine, matokeo yake after Aston Villa scored, tulianza kutumia nguvu nyingi sana katika defence ili kuhakikisha kuwa Aston Villa hawasawazishi kitu ambacho kama tungekuwa tuna magoli matatu, ingetusaidia sana kutokutumia nguvu nyingi katika defence.
 
Ni kweli kabisa mkuu maaana Man City wana idadi kubwa sana ya magoli na Arsenal lazima wakumbuke hilo.

na ndicho kitu ambacho kinaweza kuicost arsenal kwa baadae,kwani idadi ya magoli ni ndogo mno sasa ikitokea wamelingana point na timu nyingine tu imekula kwao!giroud hana changamoto anabweteka mno,kwa kocha kama mourinho angempiga bench dhahiri
 
....hahahaha, hivi ee?
No wonder wamepunguza kusogeza pua zao humu!



-Baaaaaaammmmm!-.... "Whack A Mole!" ....khekhhehhheeeee....wakichungulia tu wanalo!!!


Lazima waache kusogeza pua zao huku maana kila wakijitahidi kuiombea mabaya Gunners hayo mabaya yanawakuta wao.
 
Last edited by a moderator:
Jamani mbona kimya humu?mbona sipati breaking news,jukwaa limedorora mno sio kawaida yetu,
Richard Sizinga Wacha1 DullyJr,etc. Njooni tuchangamshe jukwaa letu,nasikia kile kidingi cha spurs(Levy) kimeanza fitna zake kumzuia lewis holtby kwenda schalke ili sisi tumkose Draxler
 
Last edited by a moderator:
Jamani mbona kimya humu?mbona sipati breaking news,jukwaa limedorora mno sio kawaida yetu,
Richard Sizinga Wacha1 DullyJr,etc. Njooni tuchangamshe jukwaa letu,nasikia kile kidingi cha spurs(Levy) kimeanza fitna zake kumzuia lewis holtby kwenda schalke ili sisi tumkose Draxler


Hawana jipya ndio maana wamekula kona! Ona Km Katavi amepotea tangu Mwaka Jana!

Ligi imewachanganya!
 
Last edited by a moderator:
Njooni kwetu chelsea muone jukwaa lilivyo changamka sn!
 
Last edited by a moderator:
Jamani mbona kimya humu?mbona sipati breaking news,jukwaa limedorora mno sio kawaida yetu,
Richard Sizinga Wacha1 DullyJr,etc. Njooni tuchangamshe jukwaa letu,nasikia kile kidingi cha spurs(Levy) kimeanza fitna zake kumzuia lewis holtby kwenda schalke ili sisi tumkose Draxler
Duh Ndugu kuna mambo ya kikazi yameingiliana hapa si unajua January hii, nilipitea kidogo mtandaoni,na kesho nina safari ya Daslam from Chuga so ila tupo pamoko...ngoja tucheki update za Usajili kwanza.
 
Ingia kwenye jukwaa letu uone!

Nyie mnapotea, sijui mnajificha Darini?

cc: Katavi

We mtu wa maneno mengi Ntuzu...Mwambie na Nduguyo Agosti8 Jumapili Mida ya saa moja jioni..Mpatikane kule kwenye jukwaa lenu mtupe Live updates.....

Halafu sie tujifiche kwa sababu ipi?
 
Last edited by a moderator:
Nani sio mshika bunduki humu? Tunaomba atupishe tuna kikao kwa gunners tu
 
Back
Top Bottom