Rockcity native
JF-Expert Member
- Dec 31, 2012
- 2,174
- 1,460
Asiyehusika na kushika bunduki ashuke
Nani sio mshika bunduki humu? Tunaomba atupishe tuna kikao kwa gunners tu
na ndicho kitu ambacho kinaweza kuicost arsenal kwa baadae,kwani idadi ya magoli ni ndogo mno sasa ikitokea wamelingana point na timu nyingine tu imekula kwao!giroud hana changamoto anabweteka mno,kwa kocha kama mourinho angempiga bench dhahiri
kijana huipendi arsenal lakin kila wiki unabet arsenal win.. Hahahaha kumbe unaipenda kimyakimya. Chezea mpunga wewe
Wewe.....!! Nani mwenye tongotongo? Mimi sina tongotongo, nina imani msimu huu hatutoki kapa.
Yaani wewe arsenal inakunyimaga usingizi, si uhamie tu huku?
Wewe.....!! Nani mwenye tongotongo? Mimi sina tongotongo, nina imani msimu huu hatutoki kapa.
Ha ha ha haaah!! Unanifurahisha sana mtani namna arsenal inavyokunyima usingizi, kutwa kucha umo humu.