Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ha ha ha haaah!! siku zote tumo humu kaka.



Naona muda unazidi kukaribia Na Nyie hamshuki toka darini bado mmelala mnaota kuinua ndoo ya Maji huku mnatongotongo!!! Ha ha haaaa

Kitoabu !!!
 
Last edited by a moderator:
Bado mmelala tu? Njooni muanze kupanga mikakati!

Au bado mko DARINI? ha ha haaaaaa!
 
Mtanange ndio unaenda kuanza ndani ya Emirates na ushindi ni muhimu sana and i belive we will continue to be on top a place where we belong.
COYG.
 
Back
Top Bottom