Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mpira umeanza kipindi cha pili tunapoteza mipira kirahisi na TOT wameweka ngumu na kujaribu mashambulizi
 
Rosickyyyyyyyyyyyyyyyy

Arsenal 2-0 Up

Dakika ya 62

Thomas Rosicky anamnyang'anya mpira beki wa kati wa Tottenhham Danny Rose ndani ya eneo la Arsenal na kukimbia na mpira kasha kuupaisha juu ya kipa Hugo Rolis na kufunga goli la pili.
 
Mathieu Flamini anaingia badala ya Jack Wilshere.

Dakika ya 72
 
Wakuu Arsenal leo imecheza kama vile ndio first X1 lakini ni timu ingine kabisa.

Mikael Arteta anatoka na nafasi yake inachukuliwa na Mesut Ozil au Ozila!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Dakika ni ya 82 na Theo Walcott anaonekana ameumia mguu baada ya kugombania mpira na Danny Ross
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Na Theo Walcott anatolewa akiwa amebebwa kwenye machela lakini inaonekana ni hatua ya uangalifu tu na sio jeraha kubwa.

Dakika inaenda ya 85
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Muda wa kawaida wa mchezo huu umekwisha na zinangojewa dakika za nyongeza.

Na zimeongezelewa dakika tano.
 
Na Theo Walcott anatolewa akiwa amebebwa kwenye machela lakini inaonekana ni hatua ya uangalifu tu na sio jeraha kubwa.

Dakika inaenda ya 85

Richard majeraha ya Walcot yatatucost tuna injury kibao now.
 
Richard majeraha ya Walcot yatatucost tuna injury kibao now.

Arsene Wenger alimuuliza mmoja wa madaktari waliopo pale bench na akamuhakikishia kwamba sio serious ila atolewe tu kama precaution.
 
Magoli mawili mazuri saana ushindi umesaidia kupunguza idadi ya mechi coz kurudiana ilikuwa ni kuchosha wachezaji.
COYG.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom