Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kudadadadadeki watoto wamebanaa mwisho wameachia point 3 muhimu zimechukuliwa Waganga walikuwa wameanza kupiga kelele.
 
Sasa ndio nini kuwekana roho juu juu mpaka dakika za mwisho!? Dah!!!!! #Mburukenge wote wameshakimbia hapa nyuso zimewashuka wamenunaaaaaaaaaaa ile mbaya. Nani kanuna!? #Mburukenge lol!!!! hahahahahahaha
 
Mpira ulikuwa na Pressure sana ila SuPER SUB Bendner kaokoa Jahazi hata Wenger hajaamini the way tulivyopata matokeo dk za mwisho
 
Kazi aliyotumwa Benditner na baba yake ameitimiza kisha akarudi kwa baba.
Hahahahahahahaha hatari saaana.
 
Aisee mie nilishaanza kuwa na wasiwasi kwamba MANC wanatuondoa kileleni, naambiwa nilikuwa nasemeshwa wakati mpira ukiendelea nilikuwa naitikia tu lakini akili yangu yote ilikuwa kwenye TV 🙂🙂 huku nikifuatilia kwa makini mashambulizi yetu na kosakosa kibao dhidi ya Cardiff. Nimefurahije mie!!!!! Congrats Gunners hizi mechi rahisi rahisi msituweke roho juu juu mpaka dakika za majeruhi.

Ni mwaka mpya na bado tuko kileleni...

Kuna #Mburukenge walishajiandaa kuja na maneno yao ya shombo...

#WatazoeaTu
 
Sasa ndio nini kuwekana roho juu juu mpaka dakika za mwisho!? Dah!!!!! #Mburukenge wote wameshakimbia hapa nyuso zimewashuka wamenunaaaaaaaaaaa ile mbaya. Nani kanuna!? #Mburukenge lol!!!! hahahahahahaha


sad dog.jpg
......who let the dogs out "who,who,...who!"...hahahah....
vijuso vyao viduchuuuu....
 
Bendtner alikosa goli kabla ya kufunga goli la Arsenal la kwanza na ametoka akibebwa kwenye machela.

Nafikiri aliumia pale alopogonga mwamba kutokana na kujaribu kukutana na Cross ya Walcott.

Hopefully anaweza kuwa fit jumamosi kwenye mechi ya FA Emirates na Spurs.
 
Safi sana Richard kwa updates, nilikuwa kama natazama vile.

Pamoja sana mkuu mpaka kieleweke mwaka huu.

Na kama nilivokwishasema Wenger amekwishafahamu targets zake na Morata wa Real Madrid ni target namba moja anaeza kuja kwa mkopo.
 
Howard Webb anachezesha game ambazo Manchester United irudi au anapewa timu ambazo atafungisha united ipande FA wachunguzwe.
 
Confirmed

Nicklas Bendtner ameumia kisigino baada ya kuangukiwa na kipa wa Cardiff alipofunga goli la kwanza na kiwiko cha mguu (Ankle) kikapindwa.

Hivyo atakuwa nje kwa wiki kadhaa.

Lazima Arsenal inunue wachezaji na mshambuliaji ni "top priority".
 
The difference between Bendner and Giroud is time of Playing....
 
Safi sana Richard kwa updates, nilikuwa kama natazama vile.

Mwanangu vp weye? Heri ya Mwaka mpya lkn!
Leo mmeshindia bahati!
Ligi Ngumu vibaya!
Arsenal
Man City
Chelsea
Liverpool
Man Utd
Hizi timu zitachuana sn msimu huu ktk top Four!
Everton na spurs sio wapinzani sn!
 
Last edited by a moderator:
TV sina kwa sasa na kuenda bar sitaki kwani yale maji ya dhahabu siyataki tena kwahiyo mpira nausikilizia tu wacha nibebe boksi ninunue nyengine
VIVA ARSENAL
 
Mwanangu vp weye? Heri ya Mwaka mpya lkn!
Leo mmeshindia bahati!
Ligi Ngumu vibaya!
Arsenal
Man City
Chelsea
Liverpool
Man Utd
Hizi timu zitachuana sn msimu huu ktk top Four!
Everton na spurs sio wapinzani sn!

Nkwingwa...Ushindi wa bahati ndio upi eti?..

Halafu, muwe mnatoa live updates kwenye thread yenu badala ya kusubiri mechi imeisha nio mnajitokeza..

Heri ya mwaka mpya Mami...
 
Back
Top Bottom