Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Thanks Gunners.

Mwendo wetu wa pole pole bado unaendelea. We are still two points above second placed Man City.

Tunahitaji kununua mshambuliaji makini kwa sasa. Pengo linaonekana kabisa na hasa kwenye mechi ya leo ambapo attempts zilikuwa kama 27 lakini kama 6 on target. This is very poor return kwa timu inayopigania ubingwa wa league!

Nimebahatika kuiona game uwanjani leo baada kubahatika kupata ticket. It was nerve-wracking for home supporter after 70 minutes.

Who knows?. Lets enjoy our wins while it lasts.

Heli ya Mwaka Mpya all Gunners.

Once a Gunner, Always a Gunner
 
Mwanangu vp weye? Heri ya Mwaka mpya lkn!
Leo mmeshindia bahati!
Ligi Ngumu vibaya!
Arsenal
Man City
Chelsea
Liverpool
Man Utd
Hizi timu zitachuana sn msimu huu ktk top Four!
Everton na spurs sio wapinzani sn!
Heri ya mwaka mpya mkuu. Mwaka umeanza vizuri sana, mpaka sasa nimeng'ang'ania kileleni.
 
Kule Old Trafford mpira umekwisha...

Pamoja na refa kuongeza dakika 5 za nyongeza bila sababu ya msingi matokeo ni:

Man Utd 1-2 Spurs

#JamviLaWageni wamerudi kwenye nafasi yao ya 7..

Yaani sasa hivi wageni wakienda OT #WanajipigiaTu

#WameshazoeaSasa

....hahahaha,.......wamenuna hao!!!
na bado, misiba itaendelea kule msimu huu
mpaka wabadilishe meneja....

8th is their destined spot this season.
 
Thanks Gunners.

Mwendo wetu wa pole pole bado unaendelea. We are still two points above second placed Man City.

Tunahitaji kununua mshambuliaji makini kwa sasa. Pengo linaonekana kabisa na hasa kwenye mechi ya leo ambapo attempts zilikuwa kama 27 lakini kama 6 on target. This is very poor return kwa timu inayopigania ubingwa wa league!

Nimebahatika kuiona game uwanjani leo baada kubahatika kupata ticket. It was nerve-wracking for home supporter after 70 minutes.

Who knows?. Lets enjoy our wins while it lasts.

Heli ya Mwaka Mpya all Gunners.

Once a Gunner, Always a Gunner
Hivi Mkuu we unaongelea ligi ipi? Labda tunatofautiana sana, manake mara ya pili nakurekebisha lakini umeshikkilia tu We are still two points above second placed Man City. ....I told U..WATCH OUT YOUR RECORDS CAREFULLY...
 
Mwanangu vp weye? Heri ya Mwaka mpya lkn!
Leo mmeshindia bahati!
Ligi Ngumu vibaya!
Arsenal
Man City
Chelsea
Liverpool
***Man Utd

we hebu hapo kwenye nyota me naona umeota hao hawapganii ubingwa wanapgania wasishuke daraja...
 
we hebu hapo kwenye nyota me naona umeota hao hawapganii ubingwa wanapgania wasishuke daraja...

Rudi usome tena post Yangu ndo utaielewa!

Ata ivyo kutoka kwa Arsenal mpk kwa Man Utd kuna tofauti ya points 11. Tafakari na ligi iko nusu!
 
Nkwingwa...Ushindi wa bahati ndio upi eti?..

Halafu, muwe mnatoa live updates kwenye thread yenu badala ya kusubiri mechi imeisha nio mnajitokeza..

Heri ya mwaka mpya Mami...

Mwanangu Mimi mwenyewe jana sikueweza kuutizama mpira Wa Chelsea! Nilikua nafatilia Matokeo kwenye BBC sport!
 
article-2532372-1A61208B00000578-578_636x411.jpg



Thats it! ..... .... ..


article-2531765-1A5FD52400000578-447_634x480.jpg


Big moment: Nicklas Bendtner celebrates
with Bacary Sagna after scoring his late goal




article-2531765-1A5FD55B00000578-921_634x390.jpg

Following up: Bendtner pounces to score on the second
attempt after Marshall had saved his initial effort




article-2531765-1A5FDFEB00000578-406_634x432.jpg

Ouch! Bendtner sprained his ankle while scoring
the vital opener and has been ruled out for weeks




article-2531765-1A5FE2C400000578-322_634x463.jpg

That'll seal it: Theo Walcott celebrates his goal in stoppage time





article-2531765-1A5FE2C000000578-445_634x439.jpg


Back to the top: Walcott lifts the ball over Marshall to make it 2-0



 
article-2531765-1A5FC22E00000578-982_634x386.jpg


Free header: Arsenal's Per Mertesacker heads wide
of the target during the second half





article-2531765-1A5FC8FA00000578-740_634x497.jpg


Gutted: Per Mertesacker and Jack Wilshere
react with disbelief as a chance goes begging
 
Majina yanayotajwa ktk dirisha dogo ni Alvaro Morata(mshambuliaji,R.Madrid)
Dusan Basta(beki udinese)
Diego Costa(mshambuliaji,A.Madrid)
Michy Batshuayi(mshambuliaji Standard Liege)
Gianelli Imbula(kiungo,MARSEILLE)
Marc Andre ter Stegen(kipa,B.Monchengladbach)

fungua pochi Profesa ili wale wa nafasi ya 8 washuke daraja
 
Back
Top Bottom