Nilikuwepo nilikuwa nafuatilia mechi kwa umakini japo mlikuwa mnapiga kelele.HT ndo unajitokeza
Nilikuwepo nilikuwa nafuatilia mechi kwa umakini japo mlikuwa mnapiga kelele.
TutarejeaKimenuka, west ham 1 arsenal 0
Nipo mpaka mwisho.Endelea kuangalia kwa makini
Bora aumie tu akae benchidadeq me naona giroud hamna kitu kabisa anakosa magoli ambayo hata ukimuweka mtoto wa chekechea akafunge ataweza lakini giroud anakosa
anasababisha tukose ushindi huyu bata
bora apelekwe tu kwa mkopo hata ashanti ya ilala make akija hata yanga hapati namba sijui profesa wenger anampanga kwa sababu gani bora hata acheze sagna namba 9 kuliko huyu kichuguu
Walcooooooot.....2-1
Mmefufuka ama ndio #pretenders .....
Tuliwatanguliza tu madogo. Naona hapo kinawaumaaa. Mmekosa cha kuandika leoHahaaaa umeibuka mafichoni