Huku tukiwa tunasubiri wale Matajiri Wa London yaani mabigwa wa Ulaya wa kwanza ndani ya London yani Vijana walio chini ya kocha boraaaa kabisa duniani Yani Jose Mourinho kuingia darajani na kupunguza Ombwe la point na watoto Wa Emarati saa 12 jioni Hali ni mbaya Kwa watoto washika bunduki Wa Mzee Wenger ndani ya Etihad!
Hatoki mtu hapa Leo!