Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Naona wageni wetu ndo wameingia Imarati...jamaa waliituaribia mechi yetu ya ufunguzi naona wanasurubiwa na Fulham
 
Naona vijana wakiongozwa na prof. Wenger ndo wanatia timu Imarati...suti zao zimewapendeza sana.
 
Game la leo ni muhimu sana kwa Gunners na point 3 muhimu zinahitajika ili kuendelea kuwa katika sehemu Nzuri.
....COYG...
 
mechi kali sana hii. Ila nachoona uchoyo wa wachezaji wa everton wa kutomtengenezea lukaku unaweza ukawagharimu baadae
 
Take a breath, it is HT still 0-0.....

Everton have dominated the game.....

Goons have been chasing shadows for most parts of the 1st half.....
 
Back
Top Bottom