Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Haya bwana, hongereni. Mmefumania.
Twende kazi sasa.....

Everton (H)
Napoli (A)
Manchester City (A)
Chelsea (H).

Tunawangoja kwa hamu.

Kwa kuwa mnakuja Emirates nasi Tunawasubiri kwa Hamu sana....
Na safari hii mtakutana na kikosi full sio kile cha Carling Cup....
 
article-2518239-19D86EF800000578-121_634x465.jpg
In good Nick: Bendtner wheels away after opening the scoring for Arsenal inside two minutes


Read more: Arsenal 2 Hull 0: Bendtner scores just two minutes in to first start of the season Gunners continue to set pace | Mail Online
Follow us: @MailOnline on Twitter | DailyMail on Facebook
 
Haya bwana, hongereni. Mmefumania.
Twende kazi sasa.....

Everton (H)
Napoli (A)
Manchester City (A)
Chelsea (H).

Tunawangoja kwa hamu.
Mtasubiri sana yaani ile kifisi fisi kusubiri mkono wa binadamu labda utadondoka!
 
Mie nataka tuchukue zote sita, uwezo tunao, sababu tunazo na nia ya kufanya hivyo pia tunayo. Nimeipenda hiyo signature yako. Siku niliyoisoma hiyo kauli kwenye gazeti nilipigwa na bumbuwazi.

Everton watatoa upinzani mkubwa, then Chelsea...tukipata angalau 4pts katika mechi hizi mbili, then tuna nafasi nzuri sana mwezi huu!
 
Mie nataka tuchukue zote sita, uwezo tunao, sababu tunazo na nia ya kufanya hivyo pia tunayo. Nimeipenda hiyo signature yako. Siku niliyoisoma hiyo kauli kwenye gazeti nilipigwa na bumbuwazi.

Ni kweli, sasa hivi tuko vizuri...ila hata tukiteleza iwe kushinda na droo.
Hii signature we acha tu! Ndo raisi huyo
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mkuu kama ulivyosema timu iko poa sana hatuna majeruhi, hivyo pamoja na kuwa December kuna mechi nyingi, lakini tuna uwezo wa kushinda mechi zote zilizobaki kama timu itaendelea kuonyesha soka la hali ya juu kama katika mechi zilizopita at the same time to avoid silly mistakes that could hinder our objective to win it all. Itakuwa poa sana kama tutakuwa na "Perfect December"

Ni kweli, sasa hivi tuko vizuri...ila hata tukiteleza iwe kushinda na droo.
Hii signature we acha tu! Ndo raisi huyo
 
Mkuu kama ulivyosema timu iko poa sana hatuna majeruhi, hivyo pamoja na kuwa December kuna mechi nyingi, lakini tuna uwezo wa kushinda mechi zote zilizobaki kama timu itaendelea kuonyesha soka la hali ya juu kama katika mechi zilizopita at the same time to avoid silly mistakes that could hinder our objective to win it all. Itakuwa poa sana kama tutakuwa na "Perfect December"


Mkuu pamoja kabisa.

Hiyo ndio itakuwa ni wiki ngumu sana kwetu katika msimu huu na nafikiri Wenger atafanya mabadiliko muhimu kulingana na aina ya mchezo ingawa safahi hii haitakuwa kazi rahisi.

Mechi na Napoli tunahitaji kutoa sare ili tuongoze kundi ila mechi na Man City na Chelsea zote tunahitaji ushindi na sare itakuwa ndio ushindi kwetu.

Nafikiri by boxing day kama tutakuwa maximum points basi tutakuwa tukiangalia mambo mengine.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kwa majirani zetu kuna misiba!!! Let's capitalize! It will be a nice feeling to be 15 points ahead of the Champions😛lane:
 
Huu ndo muda wakuwatoroka hao jamaa maana baadae tuna mechi ngumu 2-Man C. na Chelski.....
 
Huu ndo muda wakuwatoroka hao jamaa maana baadae tuna mechi ngumu 2-Man C. na Chelski.....

@byinzi Namtafuta mbona haonekani maana aliniambia sijui mpira na nilichomueleza kuwa nafuu yake ni sare yakatokea ndio tumempoteza kabisa + majanga ya jana kwa Newcastle ndio kabisaaaaaa
 
Back
Top Bottom