Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yaani wanavyosherekea utadhani walitawala ile game ikawa one way traffic!kumbe ushindi wenyewe wa set piece mpira ukamgonga van persie wakapata kigoli cha ngama,wakakilinda kana kwamba wanapiga fainali ya UEFA CL.Tofauti zilizotutenga sisi na nyie ktk ile game ni minor sana,yaani ni ile kumchinja kobe timing but nashangaa bandugu wiki nzima mna-celebrate tu.Ila endeleeni bana,tunawaachia uzi wetu muendelee kudimba dimba hapa kwasababu furaha kama hii kuipata tena while under Moyes si kazi ndogo.
 

winning mentality....every game is A CUP FINAL......for MAN UTD i should say......
 
winning mentality....every game is A CUP FINAL......for MAN UTD i should say......
Mngekuwa na mentality hiyo sidhani kama SAIDO BERAHINO angewatenda uovu pale pale OT!Mliamua kufia uwanjani mtufunge sisi ili dunia nzima irudishe imani kwenu,hata mngemfunga man city isingeleta relief yoyote kwenu zaidi kuifunga arsenal....it was a win or die match for you!
 

kwahio umeambiwa ukiwa na winning mentality u dont lose!!!!pole......
 

with this record below...it suggests otherwise.....

MAN UTD VS ARSENAL RECORD....
man utd 1-arsenal 0
man utd 1-arsenal 1
man utd 2-arsenal 1
man utd 2-arsenal 1
man utd 8-arsenal 2
man utd 0-arsenal 1
man utd 2-arsenal 0

man utd 1-arsenal 0

man utd 3-ars enal1

man utd 2-arsenal 1
man utd 0-arsenal 0
man utd 3-arsenal 1
man utd 1-arsenal 0
man utd 1-arsenal 2
man utd 2-arsenal 1
man utd 4-arsenal 0

man utd 2-arsenal 2
man utd 1-arsenal 2
man utd 0-arsenal 1
man utd 2-arsenal 0

man utd 0-arsenal 0
man utd 0-arsenal 0[arsenal won 5-4 penalties,FA CUP FINAL

BTW kwenye "win or die" games as you say Arsenal game comes hardly number three.....liverpool number one, man city number two.....then im not sure its chelsea or arsenal who comes third....upinzani wenu na nyinyi ni wa muda tu uliisha 2005 mlivyokuwa NO LONGER TITLE/CUPS CHALLENGERS!!!Chelsea akachukua kijiti,sasa hivi ni Man city.....but upinzani wetu na liverpool ni wa milele....so Arsenal game will never be "WIN OR DIE" GAME FOR MAN UTD.........
 

Let me tell you brother....when it comes to compare between man utd and arsenal you will never come on top....its like CHALK and CHEESE.......one has 20 league titles one has i dont even know but very very few,one has 3 ECL trophy one has NONE.....one has a record FA CUPS at least here arsenal comes second.....MAN UTD is another level we only envy liverpool for their 5 european titles not ARSENAL brother.......
 

Wewe ndiye mrithi wa sheikh yahya? Au unachukua kozi kwa TB Joshua!
 
An Arsenal fan in Uganda is homeless after losing his house in a bet over a game between Arsenal and Man United http://t.co/iVPHoVUNY5"
 
An Arsenal fan in Uganda is homeless after losing his house in a bet over a game between Arsenal and Man United http://t.co/iVPHoVUNY5"

with the record below......only an IDIOT will bet even ONE ZIMBABWEAN DOLLAR for Arsenal win....

MAN UTD VS ARSENAL RECORD....
man utd 1-arsenal 0
man utd 1-arsenal 1
man utd 2-arsenal 1
man utd 2-arsenal 1
man utd 8-arsenal 2
man utd 0-arsenal 1
man utd 2-arsenal 0

man utd 1-arsenal 0

man utd 3-ars enal1

man utd 2-arsenal 1
man utd 0-arsenal 0
man utd 3-arsenal 1
man utd 1-arsenal 0
man utd 1-arsenal 2
man utd 2-arsenal 1
man utd 4-arsenal 0

man utd 2-arsenal 2
man utd 1-arsenal 2
man utd 0-arsenal 1
man utd 2-arsenal 0

man utd 0-arsenal 0
man utd 0-arsenal 0[arsenal won 5-4 penalties,FA CUP FINAL
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…