Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

naangalia matokeo hapa
Mungu ashukuriwe na leo tumeshinda sijuwi watani watakuja na maneno gani tena baada ya gemu ya leo
Nzi
ligi ngumu bado
 
naangalia matokeo hapa
Mungu ashukuriwe na leo tumeshinda sijuwi watani watakuja na maneno gani tena baada ya gemu ya leo
Nzi
ligi ngumu bado

Pusti Girude amewalambisha midomo...

Cc: Wacha1
 

Attachments

  • 73a7a593bcf9f0502cff154036a6ff58.jpg
    73a7a593bcf9f0502cff154036a6ff58.jpg
    44.4 KB · Views: 101
Last edited by a moderator:
Thanks Gunners.

Three points ndani ya bag huku aliyeko nyuma yetu akiwa na four points less.

Polepole ndiyo mwendo.

Tukutane tena Emirates, Jumanne 26 Nov, saa 19:45 kuwapa dose tena watu wa Marseille

Once a Gunner, Always a Gunner.
 
Point 3 muhimu zimechukuliwa na Gunners wanaendelea kuwa on Top kwa point 4 mbele ya Looserfool.
...COYG..
 
Nasikia game imesogezwa dakika 15 mbele kutokana na security threats pale London..hivyo itaanza saa 12.15 jioni kwa saa za Afrika ya Mashariki

Duuh! Kweli mechi za kimataifa zilitukosesha mambo. Vip mkuu Nzi habari ya siku mingi.
 
wazee ndio nimetoka kuwajibika sasa leta maneno
Nzi umekimbia leo au upepo mwingi hukuweza kuruka? naona hata updates hukuweza kutowa leo
Usikimbie mtani ligi bado ngumu ndio kwanza Nov
Naona unataka kuleta picha za mashoga huku kwani kule OT kugumu?
 
Mie niliangalia mechi yote lakini baada ya kukuona uko hapa nikajua utaifanya kazi hiyo vizuri sana. Leo MANC walikuwa na karamu ya kuziona nyavu 5-0 against Tottenham nasubiri mchapo wenu in 27 mins.

Kimya sana humu.. BAK tupia updates
 
Back
Top Bottom