sina wasiwasi kwani naona jana kama mumechukuwa ubingwa kwa kuifunga Arsenal, safari hii ubingwa mulioupata jana ndio ubingwa wenu lakini kupata epl mutausikia kwenye radio
Hongera zenu
Msimu huu Chelsea wanafungwa mechi 2.....Man Utd wamefungwa mechi 2......Liverpool kala kichapo mara 1....Man City kichapo ndo kama kawa....
Vipigo vya timu zote hizo havikuwa gumzo kama cha jana cha Arsenal kutoka Man Utd.....
Kwa nini Arsenal akifungwa inakuwa furaha kwa #TeamMburukenge ?.....Je ni tishio?.....ama hawaipendi tu.....
Itabidi tuwazoee tu hawa #TeamMburukenge ....
COYG
Mke wa wengi huyo!Na wewe ni mke wa nani?....WBA?
#Mburukenge
Na wewe ni mke wa nani?....WBA?
#Mburukenge
Chifu, mbona kelele nyingi?. Ninaamini unafahamu tabia ya kabumbu. Kuna kushinda na kushidwa.
Kwa leo sina budi kukupa pongezi kwa kunusa nusa kilele cha league kutoka sijui nafasi ya ngapi kule chini mpaka ya tano.
Yes, we missed a great opportunity to take three points back to Highbury.
Naona mfarisayo kama vile macho yamefunguliwa na hakutegemea kama Manu U wanaweza kuchukua pointi tatu.
Mpe salamu zangu na mwambie mechi haikuwa ni fainali bali ni league yenye michezo 38 na kwa sasa michezo 11 tu imeishachezwa huku Manu U wakiwa wa tano kwenye meza ya ushindi.
Booooommm...leo tumemuwowa mke wetu...
Cc: BAK Balantanda Wacha1 makelele alikuwa anaweweseka toka jana..alijua atakachopata kutoka kwa mme wake...
Mngekuwa mnajua kuwa ligi ina mechi 38 msingejitangazia ubingwa mechi ya 6 tu
Hawana tofauti na Simba walioshangilia sare ya 3-3 na Yanga....Wakajua ndo washachukua ubingwa wa VPL....TeamMburukenge ushindi umewafanya wanaweweseka sana Mkuu na hii ni kwasababu matokeo hayo hawakuyategemea.
Arsenal wakikutana na Manchester United wanakuwa waoga sana sijui woga unatoka wapi,Moyes alikuwa mjanja sana kumuanzisha Jones ingawa watu wengi walimponda but ndio aliweza kabisa kuwazima Ozil na Ramsey.Tatizo kubwa la Ozil sio mchezaji wa big match nakumbuka hata akiwa Madrid alikuwa anaflop game nyingi sana walizokuwa wanacheza na Barca.Still bado mna tatizo la msingi mlipaswa kusajili striker Higuain angewafaa sana huwezi kushinda ubingwa ukiwa na striker kama Bertnder
Nani aliyejitangazia Ubingwa mechi ya 6 mkuu acha kuweweseka wewe.
Kuna #Mburukenge walipotea naona wamefufuka sasa...
Matokeo ya jana yamewatoa pangoni.....
#Mashabikimaandazi