Mvina
JF-Expert Member
- Aug 2, 2009
- 997
- 34
Msijali sana second half tunaongeza zingine 2 mpira unakuwa umeisha!
Subirini kipindi cha pili mnaweza fanya maajabu wazee.
Msijali sana second half tunaongeza zingine 2 mpira unakuwa umeisha!
Nina raha sana hapa subirini kipindi cha pili tunapiga zingine mbili, mimi nitakuwa wa kwanza kuwapa pole!
babu kubwa niko pamoja na nyinyi sema mechi kama hii huwa napenda kuiangalia kwa utulivu sana.tutaongea zaidi baada mpira kwisha kuichambua game.all the best for the remaining minutes.
poleni maana naona mkifika kumi na nane mnachachawa
Hawa vijana wanacheza vizuri but the they cannt score! Very likely wakaongezewa goli maana chelsea wanatumia vyema nafasi zao
watoto wapumbavu wanataka kutembea na mpira mpaka golini wakati watu wanafunga magoli ya mashuti ya mbali kila siku.poleni maana naona mkifika kumi na nane mnachachawa
mkuu mechi kama hizi moyo huwa unaenda mbio sasa usipokuwa sehemu yenye utulivu unaangalia unaweza kupelekwa hospitali lol.Mkuu unanipaga raha sana hasa mnakuwa kuwa mmefungwa hahahahaha asante sana!
Gap la Van Persie limeonekana ila wanahitaji Striker wanguvu. Eduardo kavuruga saana. Huwezi kuposses hivyo halafu unashindwa kuscorewatoto wapumbavu wanataka kutembea na mpira mpaka golini wakati watu wanafunga magoli ya mashuti ya mbali kila siku.
Gap la Van Persie limeonekana ila wanahitaji Striker wanguvu. Eduardo kavuruga saana. Huwezi kuposses hivyo halafu unashindwa kuscore