Arsenal (The Gunners) | Special Thread


Mkuki mchungu enh! Tulia upate dozi dogo....
 
chamakh
Unaonekana wewe ni mgeni kwenye majukwaa ya football hapa Jamiiforums,karibu
 
Last edited by a moderator:
Nipo Napoli kwa mkopo ha ha ha ha ha Wacha1 kwisa kimbia jumba.
 
Last edited by a moderator:
.... Nzi na Belo, asanteni kwa bench- warming hapa.

Bring on #Napoli ! COYG!!!
 
Last edited by a moderator:
RVP alicheza hapo misimu 8 hakuambulia kitu,kaja Manu msimu mmoja kashachukua EPL while hakuna hata mchezaji mmoja wa Arsenal aliyechukua EPL kwenye kikosi chenu.Tunawasubiri wengine ukame ukizidi watakuja wenyewe
Ilikuwa enzi za fergie mkuu but not now,RVP mwenyewe alivutiwa na sera za ku-win it in an ugly way za kibabu fergie lakini si kwa huyu moyes,kazi mnayo!
 
Yaani magazeti yalivyokuwa yanawapamba hawa napoli. Duh! Higuan anajuuuta
 
Siamini namna vijana wanavyozungusha mpira. Haters wakalale tu.
 
Ozil /Oʊzil/ verb ~(sb) (in/with sth) to
help somebody do something. To
assist . » Students be like "I will ozil u
with ur assignment
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…