Eqlypz
JF-Expert Member
- May 24, 2009
- 4,065
- 651
mkuu mbona unapenda fujo sana? watu wnaongea vitu vya maana wewe unasema longo longo ha ha ha.mbona mechi zako kubwa sie hatuwasumbui mkianza kupigiana mikwara?
mie natizama mechi ya leo kwanza lol.
Hahaha, soon watapandishiana hasira wewe ngoja tuu...si unajua wataongea kila kitu mwishowe wanaishia kutunishiana misuli ila ndio ushabiki huo.
Inanikumbusha miaka ya nyuma nilienda kwenye pub ya wa-Irish kuangalia mechi duh jamaa watemi wale wakibishana kidogo mwingine anapiga glass mezani lol.