Sasa hivi the Special One anapewa kila aina ya jina baya...ahaaaaa Ngoma ikivuma sana ujue inakaribia kupasuka.Mourihno hana jipya kwa sasa.
Kwa Depth ya kikosi cha Chelsea huwezi kupoteza mechi kirahisi hivi...
Strikers watatu wenye ubora wa juu,Viungo wa kutosha.
JE UNGEPEWA TIMU KAMA ARSENAL YENYE MAJERUHI NUSU YA TIMU????? Lazima angeshuka daraja......