Jirani,
Nimekuelewa vizuri sana na samahani sana kama nimekukwaza na maneno yangu yasiyostahili, nimeliona hilo na sikutegemea kutumia maneno hayo. I sincerely apologize for my mistake, and hope that you receive my apology with good spirit. Natarajia tutaendelea na upinzani wenye heshima kama kawaida.
Nakutakia msimu mwema na hongereni kwa ushindi, naona mwaka wenu huu kama mnavyosema kila mwanzo wa msimu.
Tatizo Arsenal habari zake zinauza mbaya sasa wewe angalia Wenger kamnunua Ozil dunia nzima inasisimka,hili jukwaa letu zuri hata tukipokea vipigo vina majibu yake na tumeanza kutoa dozi watanuna sana mwaka huu,wewe ona mtu anaogopa kumpeleka mchezaji kwa mkopo Arsenal kisa ni mpinzani huko ni kutojiamini mbona Wenger alimuuza Rvp Man utd na hakusema kuwa ni mpinzani kuna wakati unatakiwa kuchukua maamuzi magumu kama ya Tottenham kumuuza Bale Madrid ili Arsenal wamnunue Ozil huo ndio uanamichezo unaangalia unaziba kwa njia gani pengo lake sio kumng'ang'ania halafu mchezaji hachezi 100% kama washikaji zetu wa Liverpool wanavyomng'ang'ania Suarez eti wapinzani wetu wakati walimaliza ligi sijui nafasi ya nane huko wao wapinzani wao ni Everton na Swansea
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Mkuu wadau wa Liverpool wakikusikia! Kwamba wao wapinzan wao ni Everton na swansea?? Hahahahahahaha hiyo kiboko.
Pamoja sana jirani....Jirani,
Nimekuelewa vizuri sana na samahani sana kama nimekukwaza na maneno yangu yasiyostahili, nimeliona hilo na sikutegemea kutumia maneno hayo. I sincerely apologize for my mistake, and hope that you receive my apology with good spirit. Natarajia tutaendelea na upinzani wenye heshima kama kawaida.
Nakutakia msimu mwema na hongereni kwa ushindi, naona mwaka wenu huu kama mnavyosema kila mwanzo wa msimu.
Itafahamika Nov. 10 pale OT.
Ni kweli?Pamoja sana jirani....
AW kasema asipobeba ndoo msimu huu anajiuzuru.....
Ni kweli?
Kama ni kweli basi inabidi aanze kufungasha
Kuna mtu anaitwa Peasant na ndugu yangu Masanilo ....
Hawa jamaa siku timu yao inacheza huwa hawacomment na ikifungwa ndo hupotea kabisa jukwaani.....Lakini cha ajabu kila siku wapo jukwaa la Imarati kumwaga shombo......Hawa tunawaita mashabiki maandazi a.k.a vilaza......Wazee wa GUBU......Ya kwao yanawashinda lakini ya wenzao kutwa midomoni mwao.....
KTBFFL
Kufungwa kwa kela sana! Siko sana JF Baada ya kugundua si jukwaa huru
best wishes gunners
Umeona Ehe! ''New Era at the Emirates'' imefungiwa miongo mingapi? Still counting kisa Wivu, asikusikie tu Invisible na Mungiki Brother khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee huyu Nzi hana lolote anatangatanga tu.
Leo tunashinda...