Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hawa jamaa utafikiri wameambiwa wakifungwa ni kiama

Mwenye timu Mike Ashley ameahidi kutoa paundi milioni 1 ambayo itagawanywa kwa watumishi wasio wachezaji ikiwa timu hiyo itaifunga Arsenal.
 
Cheick Tiote anapewa kadi ya njano kwa kumchezea rafu Aaron Ramsey.

Zimeongezwa dakika mbili kabla ya mapumziko.
 
Ila tactic ya kumchezesha Oxlade Chamberlain katikati imeharibu mtiririko wa mashambulizi.

Oxlade Chamberlain anatakiwa acheze pembeni na Cazorla arudi katikati na sio Ox katikati na Cazorla pembeni.

Walcott na Oxlade wacheze pembeni ili kufungua ngome ya Newcastle.
 
Dakika 45 za kwanza hakuna shot on target hata moja. Noma...
 
Ilikuwa Wilshere acheze badala ya Arteta kwa kuchomwa sindano ya kuondoa maumivu, lakini ni Gervinho ambae yupo bench na Olivier Giroud.
 
1-0 up

Newcastle walidhani ameotea Koscielny ameotea na akauweka mpira wavuni, mpira mzuri wa adhabu umepigwa na Walcott.

Mpango wao umeharibika, wajinga sana hawa.
 
Back
Top Bottom