Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Refa anawabeba sana Bayern
Dakika 3 za nyongeza
Dakika 3 za nyongeza
Chief.....Ushabiki weka pembeni....Kwenye pogezi toeni.....Kuna wengine wamepigwa Home and AwayKhe khe khe khe khe!!! As last season, you will end up saying 'it was too close!! Khe khe khe
Kuna watu humu siku timu zao zinacheza hawaonekani kabisa kwenye majukwaa ya Timu zao lakini siku Arsenal inacheza wanakuwa mabingwa wakupost..........Wanafiki
Wanashangaza kweli hao jamaa....Heri ya Mentor...Yeye mwanzo mwisho yupo jukwaani kulitetea chama lake The Blues.....Hawa wengine wao wanasubiri timu zao zishinde ndo wanaonekana....Zikifungwa wanatokomea.........WANAFIKI
Nkwingwa.....Labda kwa mechi za karibuni ndo umekuwepo lakini kwa siku za nyuma haukuonekana jukwaani chifu....Walioonekana ni Mtaalamu mfarisayo na mheshimiwa sana Manda...Anyways, labda ndio huko kutingwa na majukumu Nkwingwa....
Mentor ni jembe hasa la The Blues.....Iwe mvua iwe jua yeye yupo jamvini...Inawezekana juzi alighafirika kidogo.....Jirani yangu Peasant ndio usiseme, yeye anasubiri mpaka timu ishinde na kuja kuandika kwa mbwembwe KTBFFH
bado goli moja linahitajika
Refa amewabeba Wajerumani ..... .... .... ..... ... very poor officiating total disgrace
Chief.....Ushabiki weka pembeni....Kwenye pogezi toeni.....Kuna wengine wamepigwa Home and Away
TUmekufa KIUME..... Hahahaaaaaa.....BIG uP GUNZ....
Duh......Huyu Refa ni kiboko......Eti hiyo nayo sio kona
Refa amewabeba Wajerumani ..... .... .... ..... ... very poor officiating total disgrace Gunners won 2 - 0 (3 - 3 aggregate)