Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,382
- 10,951
Obsession
Pole nkingwa..ndiyo ukubwa huo.
Tusubirieni hapo Emirates tuje tutangazie ubingwa hapo..angalau nanyi mpata ladha na harufu ya ubingwa wa EPL.
Obsession
next EPL The [/I]Swans waliowatoa kamasi Chelsick .... ...
Hongereni Arsenal kwa kushinda goli 2-0 dhidi ya Bayern Munchen. Mmevunja rekodi, kama kawaida yenu!
Tushawazoea nyie waosha vinywa........
Maneno miiingi kama watani wangu wazaramo......
Tushawazoea nyie waosha vinywa........Bora kutolewa na Swansea kuliko Bradford au Blackburn at Emirates.
wamekufa kiume, khe khe khe...yaani moshi mweupe haukufuka🙂)
Muhimu hapa ni kuwa kujaribu kuendelea kuwa consistent kwenye mechi za kwenye ligi.
Haita make sense kujituma kote huku alafu tukapoteza kwa Swansea.
Haya mrudi mpiganie nafasi ya 4
Haya mrudi mpiganie nafasi ya 4
Naona leo Bayern walitoa mpungaWacheni Wivu mlikuja na ngebe mkifikiri tutafungwa kama mlivyotolewa nyinyi na timu zingine kumbe chichi tumewapachika magoli Bayern kama tulivyochema mwanzo chacha mnaanza kuwanga wanga tu .. ..khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
WANAFIKI tu nyie jirani hamna lolote....Toka lini uliona nyani wanachekana makalio?....Naona leo uko kwenye copy/paste mode, keep them coming....hhahahaa..poor arses.
Wacheni Wivu mlikuja na ngebe mkifikiri tutafungwa kama mlivyotolewa nyinyi na timu zingine kumbe chichi tumewapachika magoli Bayern kama tulivyochema mwanzo chacha mnaanza kuwanga wanga tu .. ..khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
WANAFIKI tu nyie jirani hamna lolote....Toka lini uliona nyani wanachekana makalio?....
Ungekuwa angalau umebaki kwenye UCL ama uko nafasi ya 1 ama ya 2 EPL ungepata haki ya kuongea....
Sasa mtu ulishatolewa UCL kitambo na Europa league unachechemea....EPL uko nafasi ya 4 ambayo muda wowote unaenda nafasi ya 5 bado unakuwa na nyodo za kuongea as if uko on top of the league table na umequalify kwenda QF ya UCL......Unachekesha jirani.....
Hayo maneno mtayaongea sana na hayatuumizi maana hata kwenye Kanga yapo....but washabiki wa kweli wa Arsenal watabaki kuwa Gunners forever.....No matter what....Ndio maana kuna mashabiki wa Chelsea ambao pamoja na timu yao kutokuwa na mafanikio wao waliamua kubaki Chelsea licha ya kwamba haikuchukua ubingwa wa ligi daraja la kwanza/EPL kwa zaidi ya miaka 50......Thank God you found Roman.......Chelsea kabla ya Roman ilikaa miaka 50 haijachukua kikombe cha EPL....Leo hii Arsenal kukaa miaka 8 bila kikombe imekuwanongwa...Mbona hamuwasemi Spurs, Liverpool,Everton n.k ambao siku zote wamekuwa wasindikizaji?......Why always Arsenal?.....Obsession???......Labda
Ushabiki wa soka ni kama uchizi fulani hivi jirani.....Shabiki wa kweli (asiye glory hunter) akipenda kapenda......Ni sawa na kichaa ambaye pamoja na kwamba jalala lina uchafu,funza na kila aina ya wadudu yeye muda wote yuko jalalani tu aki
jisevia vyakula......Anapenda
So hauna haja ya kutuonea huruma wala kutucheka mashabiki wa Arsenal kwa sababu ni timu tuliyoichagua...Kama wote tungekuwa mashabiki wa Chelsea sidhani kama kungekuwa na shangwe wala raha ya mpira......Cha msingi ni kuheshimu uamuzi wa wenzenu sisi tulioamua kuwa mashabiki wa Arsenal......
WANAFIKI
WANAFIKI tu nyie jirani hamna lolote....Toka lini uliona nyani wanachekana makalio?....
Ungekuwa angalau umebaki kwenye UCL ama uko nafasi ya 1 ama ya 2 EPL ungepata haki ya kuongea....
Sasa mtu ulishatolewa UCL kitambo na Europa league unachechemea....EPL uko nafasi ya 4 ambayo muda wowote unaenda nafasi ya 5 bado unakuwa na nyodo za kuongea as if uko on top of the league table na umequalify kwenda QF ya UCL......Unachekesha jirani.....
Hayo maneno mtayaongea sana na hayatuumizi maana hata kwenye Kanga yapo....but washabiki wa kweli wa Arsenal watabaki kuwa Gunners forever.....No matter what....Ndio maana kuna mashabiki wa Chelsea ambao pamoja na timu yao kutokuwa na mafanikio wao waliamua kubaki Chelsea licha ya kwamba haikuchukua ubingwa wa ligi daraja la kwanza/EPL kwa zaidi ya miaka 50......Thank God you found Roman.......Chelsea kabla ya Roman ilikaa miaka 50 haijachukua kikombe cha EPL....Leo hii Arsenal kukaa miaka 8 bila kikombe imekuwanongwa...Mbona hamuwasemi Spurs, Liverpool,Everton n.k ambao siku zote wamekuwa wasindikizaji?......Why always Arsenal?.....Obsession???......Labda
Ushabiki wa soka ni kama uchizi fulani hivi jirani.....Shabiki wa kweli (asiye glory hunter) akipenda kapenda......Ni sawa na kichaa ambaye pamoja na kwamba jalala lina uchafu,funza na kila aina ya wadudu yeye muda wote yuko jalalani tu aki
jisevia vyakula......Anapenda
So hauna haja ya kutuonea huruma wala kutucheka mashabiki wa Arsenal kwa sababu ni timu tuliyoichagua...Kama wote tungekuwa mashabiki wa Chelsea sidhani kama kungekuwa na shangwe wala raha ya mpira......Cha msingi ni kuheshimu uamuzi wa wenzenu sisi tulioamua kuwa mashabiki wa Arsenal......
WANAFIKI
Nimeshapoa mtani. Champions league huku mwisho mwisho bila timu kutoka England hainogi kabisa.Pole mtani wangu Oxlade-Chamberlain, nilimwona wajina wako pale dimbani..till next time, bye bye UCL. Questt acha kujipa moyo, mmetoka.. BAK mbona umepotea? pole jirani!!