Kile kijibabu chenu kimeiweka FA mfukoni kiasi kwamba kikifanya makosa wanaogopa kukuadhibu.Halafu unakuja hapa na kusema kuwa mnajua kucheza mpira.
Mkuu sisi hatutoi bahasha,tukifungwa tunafungwa kihalali na tukishinda tunashinda kihalali.
Mkuu poa tu,Huyu Bayern wetu tunamchinja mzima mzima.
Waaambie mkuu hawa wanafiki. Lete habari? Za masiku? Hawafahamu Gunners ni chama kubwa kitaeleweka tu.
Unamjua Manduki wewe?!? Tungekuwa hatuufahama mpira, tusingekuwa na makombe 19 ya EPL, 3 ya UCL, 2 ya Klabu Bingwa ya Dunia na mengineyo. Yaani nyie Arsenal siyo wa level yetu. #WeeClub