Bukayo jr
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 2,782
- 1,647
Wanashangaza kweli hao jamaa....Heri ya Mentor...Yeye mwanzo mwisho yupo jukwaani kulitetea chama lake The Blues.....Hawa wengine wao wanasubiri timu zao zishinde ndo wanaonekana....Zikifungwa wanatokomea.........WANAFIKI
Unajitokeza baada ya kupata kagoli ka bahaati. khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Wanashangaza kweli hao jamaa....Heri ya Mentor...Yeye mwanzo mwisho yupo jukwaani kulitetea chama lake The Blues.....Hawa wengine wao wanasubiri timu zao zishinde ndo wanaonekana....Zikifungwa wanatokomea.........WANAFIKI
Mkuu sisi hatutoi bahasha,tukifungwa tunafungwa kihalali na tukishinda tunashinda kihalali.Kafuatilie kule Man United Special Thread. Labda niwe nimetingwa na majukumu; lakini daima nimo mule, iwe katika kushinda, kushindwa ama kutoa droo.
Humu nimekuja kuwapa kampani. Arsenal litakuwa chama langu kama ikipita leo.
Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee yaani najitokeza dakika ya tatu. Nilikuwa naweka list na chuma kinaingia weye hupendi haya bana, tizama kabumbu naona Diaby na Ox wanaweza kuja kipindi cha pili .. ... .. ... ...
Nkwingwa.....Labda kwa mechi za karibuni ndo umekuwepo lakini kwa siku za nyuma haukuonekana jukwaani chifu....Walioonekana ni Mtaalamu mfarisayo na mheshimiwa sana Manda...Anyways, labda ndio huko kutingwa na majukumu Nkwingwa....Chifu, naona umfahamu Nzi!! Kacheki kule nyumbani kwetu; daima nawakilisha!! Ninapotingwa, ndipo uwa sionekani!
Chifu, wewe ndiyo uwa unapotea kabisa humu jukwaani!!
Unamsema Mentor huyu huyu? Juzi tu pale zile goli 2 za OT aliingia mitini na Peasant wakw. Wamekuja kujitokeza baada ya ngoma kuwa doroo!
Mkuu sisi hatutoi bahasha,tukifungwa tunafungwa kihalali na tukishinda tunashinda kihalali.
Kile kijibabu chenu kimeiweka FA mfukoni kiasi kwamba kikifanya makosa wanaogopa kukuadhibu.Halafu unakuja hapa na kusema kuwa mnajua kucheza mpira.Khe khe khe khe. Bahasha la Wenger halijatosha. Lazima mkikalie!!