Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Kipa wetu, Fabianski katulia sana golini leo mkuu....duh!!hapa ni bahati ndo hawana hawa munich
Bayern wanafanya sub, anaingia Mario Gomez
Kipa wetu, Fabianski katulia sana golini leo mkuu....duh!!hapa ni bahati ndo hawana hawa munich
Huyu hapaUnamjua Manduki wewe?!? Tungekuwa hatuufahama mpira, tusingekuwa na makombe 19 ya EPL, 3 ya UCL, 2 ya Klabu Bingwa ya Dunia na mengineyo. Yaani nyie Arsenal siyo wa level yetu. #WeeClub
Unaongea kama mgonjwa vile.....kwa kiwango cha Asernal bora watoke tu maana hata wakipita hapa huko mbeleni wataenda kutia aibu tupu,wanacheza chini ya kiwango yaani ni Mungu saidia tu
Kitu 2 up... ..... ... Koscielny ... .....