Team news:
Line-up:
Almunia
Sagna - Gallas - Vermaelen - Gibbs
Ramsey - Fabregas - Diaby
Arshavin - RVP - Eduardo
Naona Wenger kaamua kuwapumzisha Song na Nasri na wataanza Ramsey na Eduardo.
Timu sio mbaya, ila nilipenda kumuona Mannone golini.
sub wapo akinanani?
Dakika zao 30 tu watatulia wenyewe, tuogope hizi freeckick na kona tu, kati tuko wepesi kidogo, Ramsey anacheza holding na Diaby amewaachia wanapita sana hapa kati.naona wolves wameanza kwa kasi sana.
tukipata goli moja tu watafungua uwanja wenyewe hawa.sema tusilalae tu manake tunamchezo wakulala .afadhali song kaja.Dakika zao 30 tu watatulia wenyewe, tuogope hizi freeckick na kona tu, kati tuko wepesi kidogo, Ramsey anacheza holding na Diaby amewaachia wanapita sana hapa kati.
erduaaaaaaaaaadoooooooooooooo .
Nakuaminia Le Proffeseur ila mvua naona inaharibu flow yetu.nilisema watoto wakituachia moja wataanza kutupa uwanja tucheze our beuatiful game.
Nakuaminia Le Proffeseur ila mvua naona inaharibu flow yetu.
usiwe na wasi wasi mvua nzuri sana kwa counter attack.Nakuaminia Le Proffeseur ila mvua naona inaharibu flow yetu.
wakifanya ujinga kama hule tutawachapa viboko.yep....hope isije ikawa kawa west-hm
wakifanya ujinga kama hule tutawachapa viboko.
yep....hope isije ikawa kawa west-hm