Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Teh tehe...Isije ikawa nyie ndo mkaishiwa kelele Home B(keep my words)Kelele zitakwisha Nov 29! Sina mnajua?
Teh tehe...Isije ikawa nyie ndo mkaishiwa kelele Home B(keep my words)Kelele zitakwisha Nov 29! Sina mnajua?
Masanilo popote ulipo Okoa jahazi Picha zimegoma kuwa inserted,wadau wanataka kuwaona vijana wao walivyofanya mambo jana,maana yaoneka AB Pichaz(Ticha lol) katokomea kusikojulikana leohttp://www.arsenal.com/assets/_files/scaled/498x334/nov_09/gun__1257414585_ArsenalvAZAlkmaar11.jpg?ic=afc829T
http://www.arsenal.com/assets/_files/scaled/498x331/nov_09/gun__1257414663_ArsenalvAZAlkmaar14.jpg?ic=40fc82T
http://www.arsenal.com/assets/_files/scaled/498x343/nov_09/gun__1257414674_ArsenalvAZAlkmaar15.jpg?ic=7414d7T
http://www.arsenal.com/assets/_files/scaled/498x311/nov_09/gun__1257414695_ArsenalvAZAlkmaar16.jpg?ic=a97a21T
http://www.arsenal.com/assets/_files/scaled/498x346/nov_09/gun__1257414454_ArsenalvAZAlkmaar5.jpg?ic=250cf6T
http://www.arsenal.com/assets/_files/scaled/498x346/nov_09/gun__1257414454_ArsenalvAZAlkmaar5.jpg?ic=250cf6T
http://www.arsenal.com/assets/_files/scaled/498x331/nov_09/gun__1257414481_ArsenalvAZAlkmaar7.jpg?ic=7f5f5eT
http://www.arsenal.com/assets/_files/scaled/498x338/nov_09/gun__1257414546_ArsenalvAZAlkmaar8.jpg?ic=312a96T
http://www.arsenal.com/assets/_files/scaled/498x346/nov_09/gun__1257414561_ArsenalvAZAlkmaar9.jpg?ic=3cd212T
http://www.arsenal.com/assets/_files/scaled/498x342/nov_09/gun__1257414573_ArsenalvAZAlkmaar10.jpg?ic=c92de4T
Kelele zitakwisha Nov 29! Sina mnajua?
Masanilo popote ulipo Okoa jahazi Picha zimegoma kuwa inserted,wadau wanataka kuwaona vijana wao walivyofanya mambo jana,maana yaoneka AB Pichaz(Ticha lol) katokomea kusikojulikana leo
Balanta!
You know what, ukizoea sana kutoingia jikoni unaweza ukasahau/usijue hata kupika but the day yule mpishi akiondoka...nakwambia utapika tu na kitaiva kidizaini......!
In absence of mkuu AB ticha....! nimejitahidi kuingia jikoni...ila nimecopy & paste za kwako hapo juu.....how do they look like?
Masanilo popote ulipo Okoa jahazi Picha zimegoma kuwa inserted,wadau wanataka kuwaona vijana wao walivyofanya mambo jana,maana yaoneka AB Pichaz(Ticha lol) katokomea kusikojulikana leo
Asante sana Next Level....je unaweza ukatuelekeza how did you managed to insert them. Maana nimejalibu lakini sijafanikiwa...hope utatusaidia mkuu!
Mazee nilikuwa nasaka nyoka mahali naona jamaa amesawazisha...Thanks
Simple kabisa.....nimeenda pale kny link ameweka Balantanda hapo juu, nikabofya ile link ya picha (mmoja baada ya nyingine) nikaiona picha, katikati ya picha nikalight click kamouse ...kuna menu ndefu inatokea...nikaenda kny COPY nikaclick pale.....then nikarudi hapo kny kisanduku cha kuandika message (kinaonekana hapo chini) nikalight click tena, unapata menu ndefu...nikachagua ile ya PASTE......that's all mkuu...it works like that!
asante sana mkuu.safi sana kama gibbs kapiga game vizuri.song ka improve sana i hope denilson atamkava wakati akienda africa.hapo ni majeruhi tu na ndio maana naomba washinde goli chap chap hile wenger hawapumzishe mastaa wetu.naomba sana injury zikae mbali hili tuwanyamazishe watu..Kaka pole sana kwa kuuguza,nafurahi kusikia kwamba bwana mdogo anaendelea vizuri.Vijana jana wamecheza vizuri kwa kweli,hata bwana mdogo Gibbs alicheza vizuri sana na alikuwa anapanda na kutoa krosi vizuri,hata Nasri naye kaanza vizuri...Alex Song ni habari nyingine kwa sasa,katulia sana tofauti na kipindi cha nyuma.Vijana wanatia matumaini kwa kweli,tuombe tu Mungu hii November iishe salama(na kipindi kingine kilichobaki) bila majeruhi..Pa1 wakuu
nimeona goli alilofungwa almunia na ni kweli huyu jamaa kusema kweli hajitumi,mimi nilijua atakaza buti baada kumuona dogo manonne anavyojikunja kama nyani.jamaa karudi analeta uvivu wa kudaka mpira hule na alikuwa kaoneshwa kabisa wala kuruka hakutaka kisa tunaongoza 4? almunia sasa ni wa kuuzilia mbali tu hatutaki wachezaji wazembe.tumemuondoa adebayor kwa ajili ya uzembe wa kuto jituma na yeye nae sasa anataka tuanze kumchukia.Huyu Almunia karudia maradhi yake yaleyale! Naona sasa wanapata alau la kuchafua gazeti! 4 -1 AW tia Mannone toa Almunya!
Leo tunakipiga na Wolverhampton Wanderers; hopefully tutachukuwa hizo point 3!!!!![]()
sema mkuu.mechi kama hizi ndogo ndogo huwa naogopa sana manake wachezaji wetu wanamchezo wa kuzarau.
nimeshangilia sana hapa manake jamaa wana mdomo sana wanafikiri kuwa na hela ndio kila kitu.waliongea uchafu sana.city ka-draw 3-3 na Burnley