TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 31,185
- 18,202
4- 0 Diaby, tunafunga buku sasa!
Kweli leo mnakula Buffet!!!
4- 0 Diaby, tunafunga buku sasa!
Naona utabiri wako huenda ukawa kweli! Kwa mujibu wa staili ya hawa vijana, nahisi lipo bao alau moja! hawajui kufunga duka hawa wao ni kushambulia tu!Sijui yatafika 6............................
Huyu Almunia karudia maradhi yake yaleyale! Naona sasa wanapata alau la kuchafua gazeti! 4 -1 AW tia Mannone toa Almunya!
gooners wenzangu najiunga na nyinyi kujipongeza ushindi mzuri na naona mlifaidi kweli mechi jana.mimi sikuweza kuangalia bahati mbaya dogo alikuwa anaumwa na ikabidi nimpeleke emergency room na amelazwa mungu akijalia kesho atatolewa.anaendelea vizuri nashukuru mungu.nategemea nikitulia nitatafuta nafasi kuirudia hio game.
asante sana mkuu.anaendelea vizuri na wamesema kesho watamruhusu.Pole sana mzee Wenger, Vp dogo anaendeleaje?
gooners wenzangu najiunga na nyinyi kujipongeza ushindi mzuri na naona mlifaidi kweli mechi jana.mimi sikuweza kuangalia bahati mbaya dogo alikuwa anaumwa na ikabidi nimpeleke emergency room na amelazwa mungu akijalia kesho atatolewa.anaendelea vizuri nashukuru mungu.nategemea nikitulia nitatafuta nafasi kuirudia hio game.
Safi sana babaake..Nice pics
Captain, hizo siyo za jana...hizo ni za weekend iliyopita kati ya Arsenal na Spurs....! Mkuu AB Tch....! naona katuchunia kuweka za jana!