Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mwamuzi Clattenburg anamuonyesha kadi ya njano Emanuel Adebayo kwa kumchezea vibaya Mikel Arteta.
 
Sifahamu ni kwanini lakini itakuwa ni kwa sababu za kiufundi.

Rosicky anabadilisha mchezo na Podolski pia, ila nafikiri Ramsey anakuwa anaongeza nguvu kwenye kulinda back four.
 
Dakika ya 27 Adebayo anajiangusha kutafuta penalty na mwamkuzi Clattenburg anafahamu amekwishampa Adebayo kadi moja ya njano na anammzea.
 
Kwa mara ya kwanza leo nawaombea Arsenal washinde...alafu mfungwe muone...!!!!!
 
Dakika ya 28 Rambo nae anapewa kadi ya njano kwa kumvuta na kumwangusha Aaron Lennon
 
Back
Top Bottom