Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Gareth bale anatufunga.

Gareth Bale wa mabalaa. Nasikia leo hapo White Hart Lane kuna televisheni za nje nyingi kuliko katika mechi yoyote ya ligi msimu huu.

Unajua kwanini?!? Wamekuja kumwangalia Bale wa mabalaa!
 
Kiungo kimekufa....Beki nayo ndo ya hovyo....Makosa ya goli la kwanza ndo yaleyale ya goli la pili....

Kifuatacho?....Tumezoea sie....

Japo muda bado sana kurudisha magoli hayo mawili na kuongeza lingine
 
Mkuu Bantalanda, naona baada ya mapumziko timu itabadilishwa.
 
Unapocheza na timu yenye wachezaji kama Bale na Ronaldo lazima uwe makini sana kwenye beki la sivyo inakuwa disaster
 
half time

Mabeki wa Arsenal wana maswali ya kujibu.

Vermaelen na Mertesacker hawana mawasiliano kabisa na Ramsey hachezi mpira umepooza.

Wenger inabidi kuwaingiza Podolski na Diaby kipindi cha pili.
 
Kweli football ni Dk 90 kama za mwanzo walifunga 2-0 basi za pili Dk 45 Arsenal wanauwezo nao wa kupiga 2-0 au 3-0 lasivyo Totenham wakipata jengine Game Over, Walcolt anahitaji akili za mpira wa miguu muda mwengine.
 
Mkuu Bantalanda, naona baada ya mapumziko timu itabadilishwa.

Muda bado sana mkuu....

Nina uhakika tutarudi vizuri 2nd half na kusawazisha kisha kuongeza..

So far tatizo ni kiungo...kimepwaya sana...Ramsey kapwaya na beki inategeana...magoli yote mawili ni uzembe wa mabeki...

Wenger angejua angekuwa anampanga Ramsey dakika 20 za mwisho...hana quality ya 1st team player...

Yote kwa yote...Hii ni North London derby, lolote laweza kutokea
 
garethbalecameraceleb20130303_576x324.jpg


KAITANUA
 
Back
Top Bottom