Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Pape Reina anapangua shuti la Theo Walcott na kuwa kona isiyozaa matunda.
 
Podolski anampa pasi nzuri Olivier Giroud lakini anapiga shuti linaekea nje.
 
What a miss.

Cazorla alitoa pasi ndefu iliyomkuta Lucas Podolski akiwa katika nafasi nzuri ya kufunga na mpira ukaokolewana beki wa Liverpool.

Dakika ni ya 26
 
Uzembe mwingine unafanyika na safari hii Mertesacker.

Mabeki wa Arsenal wanashindwa kujipanga.
 
Is Manone not better than this Polish ---- btn the sticks?????
 
Back
Top Bottom