Team News.
Thomas Vermaelen anarudi kucheza mkoba.
Mikel Arteta, Francis Coquelin na Lukasz Fabianski bado wanauguza maumivu, na Gervinho bado anacheza fainali za AFON huko South Africa.
Hivyo timu unayotarajiwa kucheza leo ni ilele timu kamili inayoundwa na Szczeny, Bakary Sagna, Kieran Gibbs, Thomas Vermaelen na Per Mertesacker, katikati kuna Aaron Ramsey au Vasiriki Diaby, Jack Wilshere na Santiago Cazorla, na mbele kuna Olivier Giroud, Theo Walcott na Lucas Podolski.
Meneja Wenger anaweza kuchagua kuanza na Diaby au Ramsey kulinda back four kutegemea na matakwa ya mpango mzima wa mchezo au "game plan".
Arsenal inatarajiwa kucheza mtindo wake uleule wa 4-3-3 na utakuwa kama inavyoonekana kwenye picha hapo chini.