nafikiri mfumo kati ya hizi timu mbili ni mmoja (4-5-1) kama sijakosea.. uhalisia ni kwamba chelsea wamedominate game kwa kiasi kikubwa sana, hapa sijui ni ufundi, ubunifu, aina ya uchechazaji na au wachezaji kati ya hizi timu mbili au ni kitu gani wadau khe!