Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nasikia kuna jamaa wanachungulia wameanza kuondoka uwanjani .. ... ... .. .. .. . Gunners 1 up Pod the man ... ..
 
tathmini ya mechi kwa ujumla wadau tunaisubiri kwa hamu sana,mi naona uvivu kutoka hapo nje.
 
Santii .... Hadi weekend ijayo baada na game na Wigan tupo 3rd place
 
Back
Top Bottom