Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huyo nae ni GALASA tu so far.......Hana msaada wowote kwa timu.....ra halafu anatembea........Eti lone striker!.......Anawatesa wenzie tu

Kaelgea sana, anapoteza mpi

Bora aingie hata Chamakh ama Arshavin...........

ki ukweli geroud siwezi kumpa credit yangu kwa lolote lile japo ni mchezaji mzuri na sidhani kama ni mchezaji ambaye ataweza kuisadia timu
 
Tuwe wakweli hata draw itakuwa bahati sioni kama tunahitaji point 3
 
ARSENE has never learned from his previous mistakes sub mpaka dakika ya 70 na atamtoa Podoski huyu mzee uwezo wake kimbinu mi naona umeishia ukomo kama ni timu ni nzuri sana tu
 
Safi sana....Ramsey nje, Walcott ndani

Giroud anakosa goli la wazi...
 
Hii timu yenu burudani kweli,juzi tu mlikuwa mnataka Vermalen acheze na Matasaka mkisema Laurent ni garasa
 
Hii timu yenu burudani kweli,juzi tu mlikuwa mnataka Vermalen acheze na Matasaka mkisema Laurent ni garasa
Mkuu mpira una siku yake.....Kuna siku game inamkataa mtu, leo game imemkataa TV5, kama uliangalia game ya Chelsea na Spurs utaona jinsi game ilvyomkataa Gallas kiasi cha kutoa pasi za magoli mawili ya Chelsea.....

Game ikimkataa mchezaji dawa ni moja tu.....Kumtoa ama kumbadili namba, nina uhakika Santos akitolewa Vermaelle akaenda namba 3 na Koscielny akarudi kati ukuta utakuwa imara.....Sidhani kama kuna shabiki wa kweli wa Arsena amewahi kusema Laurent Koscielny ni GALASA......Hili ni jembe la ukweli na ni kiraka cha ukweli....

So fara game iko 50:50
 
ingekuwa timu nyingine huyu Clevel... sijui ilikuwa amechukua red, mpaka Fergie kaona amtoe tu isije kuwa balaa!
 
Arsenal wanaonekana wapo nervous..last 8 goals defeat is back in the every Arsenal mind...Dah tumekwisha.....
 
Back
Top Bottom