Ningekuwa kocha asingerudi half time huyo, anaunderperform halafu anachoweza ni kwenda kuomba jezi ya mchezaji ambaye sio popular kwa timu yake? very stupid...am mad with him!!Santos anaenda kuomba jezi ya van persie mapema yote hii?
Santos anaenda kuomba jezi ya van persie mapema yote hii?
Wenger kama anania nzuri amlete Walcott na kumtoa Ramsey
Sio Santos tena??!
Anayepaswa kutoka ni Ramsey.........Sio Santos tena??!
I'm telling you hawa wetu kabisa.Mmejitahidi mpaka 45 hali si mbaya.
Santos anaenda kuomba jezi ya van persie mapema yote hii?
Wenger kama anania nzuri amlete Walcott na kumtoa Ramsey
Wewe nawe.................Una kimbelembele cha MWAJUMA...................lolMmejitahidi mpaka 45 hali si mbaya.
Huyo nae ni GALASA tu so far.......Hana msaada wowote kwa timu.....ra halafu anatembea........Eti lone striker!.......Anawatesa wenzie tuna huyu geroud naye sioni impact yake, kwa kifupi attacking zone hakuna cha maana sana kinachofanyika
Anayepaswa kutoka ni Ramsey.........
Yes.......na Santos, atoke Santos aingie Koscielny
Santos kachkua jezi ya RVP akijua fika kwamba hatarudi uwanjani 2nd Half........
na huyu geroud naye sioni impact yake, kwa kifupi attacking zone hakuna cha maana sana kinachofanyika