Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Game yetu hii wakuu.....Muda bado sana...

Tusikate tamaa......Wakati mwingine ni heri kufungwa dakika za mwanzoni na kuanza kutafuta goli la kusawazisha na baadae la ushindi kuliko kufungwa dakika za mwisho...

COYG
 
Huyu jamaa hana hata huruma na sisi jamani? Hapa ndo namkumbuka Henry manake kwanza asingekubali kuanza katika kikosi cha kwanza against Arsenal!!!!
Muda bado sana mkuu....

Halafu, pamoja na kwamba sipendi utaratibu/mfumo wa AW......lile goli si tatizo la mfumo......Ni uzembe wa TV na positioning ya golikipa....TV5 kapoteza mpira kizembe jamaa wameuwahi RVP akafunga
 
Game yetu hii wakuu.....Muda bado sana...

Tusikate tamaa......Wakati mwingine ni heri kufungwa dakika za mwanzoni na kuanza kutafuta goli la kusawazisha na baadae la ushindi kuliko kufungwa dakika za mwisho...

COYG

Balantanda shikamoo bana...
 
Wakuu inakuaje??? Ndo naingia home, Washa kideo... Naangalia scoreboard, kisha angalia mfungaji..... nikazima after a minute or so Nikawasha.... Hali si njema ila Time bado kama tulivyocheza na Norwich
 
Dah!...............

Tunashambuliwa sana.......Ngoma nzito........

Vito Manonne anafanya kazi ya ziada leo....Beki yetu imepwaya
 
Back
Top Bottom