aweke afe siunaona katupia za kusawazisha chezea kichapo wewe..
Wachumba hamjambo??! Naona mshenga (man u) naye mambo mema kwao!
You got me wrong jirani......Nilitaka tu kumuonesha the so called Mentor kwamba in football lolote linawezekana, leo Chelsea anaweza kumfunga Arsenal na kuesho Arsenal anaweza kumfunga Chelsea, kwa sababu football siku zote ni game of chance na si maneno kama Mentor anavyodhani.......Ndio maana nikamuonesha huyo bwana kwamba ni siku chahce tu zilizopita Arsenal waliwafunga Chelsea goli 5 na juzi timu hizo zimekutana na Chelsea ikashinda 2.........Hata ushindi wa juzi wa Chelsea dhidi ya Arsenal ni History kama ilivyo kwa ule wa Arsenal wa goli 5 dhidi ya Chelsea........Waswahili wanasema Muosha huoshwa na Yaliyopita si ndwele........................Congratulation! That's three points for you guys!.......hahahaha!Pole jirani, naona unajaribu kujiliwaza kwa kuangalia historia...soon you will be on History Channel, just like mighty Loserfool.
Wachumba hamjambo??! Naona mshenga (man u) naye mambo mema kwao!
aweke afe siunaona katupia za kusawazisha chezea kichapo wewe..
Wachumba hamjambo??! Naona mshenga (man u) naye mambo mema kwao!
Heshima yako mkuu, Wacha inabidi ashangilie time ya MADEMU tu,coz ndio wanaowapata raha tofauti na kina Manywele pasua kichwa. mwambie Wacha atoke vichakani hali imeisha kuwa shwari mtaani.Kumradhi kwa kuchelewa kufika mnusoni! What did I miss? Manywele wa Hasanali ni mchoyo (hat gemu la City alicheza hivyohivyo uchoyo sanaa na kukosesha wenziwe nafasi) baada ya kujipatia statz za goli akasinyaa!
Oxy ni kidume, kale kakijana nakaogopa, kanajua mpira na cross zake zote zilifika sawia na pamoja na kuwa ni moja ilizaa goli, nyinginezo wenzake walicheza nalenale.
20 za mwisho, gooners walionekana kuchoka sana chokambaya, nikajiuliza hawajifui kupiga kipute cha net productivity ya 65%? maana walikuwa productive at 80-90% kwa takriban 30% ya gemla!
Siye tumeshinda, na mpira ni magoli, lakini hatukuwa impressive na kutandaza mpira. Mipira ya pembeni kumtumia Brani na Ash tumeacha, Ramirez alionekana kama haelewi yupo wapi, Terry na Ash kuna uchochoro ghibande yao, Torres....mh...Hatafuti mpira na si tishio, ni heri tungeanza na Musa au Danieli ambao wanahaha kukukakara na wana uchu wa kufunga na hawana aibu au woga...
Any way, poleni Hasanali na mwambieni Wacha aache visingizio vya marefa!
Mkuu Bantalanda na wengine, hii ni mechi moja tu tumepoteza na si mbili wala tatu. Pia hatupo nyuma sana kwa points nyuma ya Chelsea 7 points Man City 3 points, kwahio tutakuwa na msimamo mzuri ifikapo December.
Arsenal jana imepoteza mechi ambayo kama Abou Diaby asingeumia na kutolewa mapema basi pengine kungekuwa na matokeo mengine.
Pili, jana nilishuhudia Wenger akifanya kosa lingine la kiufundi kwa kumpanga Vermaelen na Koscielny na kumuacha nje Mertesacker kosa ambalo ndilo limetucost 3 points.
Tokea mwanzo kwenye training Wenger anafahamu Mertesacker na Vermaelen ndio wanaelewana vizuri wawapo uwanjani na ukiangalia mechi zote amazo Arsenal haijapoteza hawa wawili ndio imekuwa ngome imara ya timu yetu.
Sasa jana anabadilisha eti tu kwasababu Koscielny alicheza vizuri kwenye mechi na Man City. Koscielny na Mertesacker hawawezi kucheza pamoja na nafikiri Wenger jana ameona hilo.
Kwahio kwa maoni Koscielyn inabidi aendelee kuwa cover kwa Vermaelen na acheze mechi ambazo si ngumu au afanyishwe mazoezi na Mertesacker mpaka wazoeane.
Vermaelen ni beki mshahara hasa na mara nyingi huwa anapiga kelele kwa mabeki wenzie na kuwakumbusha kukaba adui na humsikiliza na ndio kukawepo 5 clean sheets kabla ya jana, lakini si Mertesacker wala Kosciely ambae jana alikuwa akiamrisha wenzake na mipita ya Juan Mata yote ikazaa magoli.
Lakini tutajirudi kwenye ari ya kutafuta 12 points kwenye mechi zote za October tukianza kwanza na Olympiakoa kwenye CL Jumanne ijayo.
Mechi za Arsenal October
West Ham (A)
Norwich (A)
QPR (H)
Reading (A)
Juzi umeona defense ya arsenal ilivyoachia magoli kirahisi... Kumbuka season sio game 5 ni game 38 mmeanza season vizuri basi gooners wote wakajua watashinda ligi... Calm ur skin down... Tusubiri mpaka dec ndo muongee
Hapana, tumeona defense ya United ilivyoachia magoli kizembe. Beki anasindikiza mfungaji. Na sasa hivi Fergie anataka kumrudisha Sylvestre awasaidie :lol: