Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

hii ni mechi ya 16 refa huyu Chelsick hawajafungwa iko kitu
Lete picha
Chelsick ile back to back ya mwaka jana aliwauma sana ndio sababu leo walimpa mpunga refa mapema, tutaona hizo mbio zao za mpunga sitaisha lini. Hata Mungiki Brother nimemuona ati naye amekwisha toka Kibera ... ..... ............. majibu yanawasubiri kwenye cowshed yenu.



article-2210370-15435659000005DC-102_634x354.jpg


Level pegging: Gervinho slams home the ball to score
Arsenal's equaliser just before half time



article-2210370-154363A8000005DC-348_634x353.jpg


Slowly Arsenal found their rhythm again.




article-2210370-15435F78000005DC-10_634x396.jpg


Pat on the back: Gervinho celebrates his goal
for Arsenal with Alex Oxlade-Chamberlain



article-2210370-15438907000005DC-964_634x346.jpg


Chance: Olivier Giroud missed an opportunity
to level the scores in the final minutes


 
Hahaha! Alidhan 'invinsibles' n kazi rahis ka ku dive? Shenz, na msimu huu arsenol waisahau top five...mark my words.

Hahahahahaaaaaaaa.... naona umekuja kwa speed sana..... 500MPH mnacheza na T'Ham tena kwenu si ndiyo???? Haya lets meet there.......
 
Sababu ya AW kwa kuloose game ya Leo....[h=1]'Defensively we were not at the level needed'[/h]Swala ni hakujua hili kwa kumuacha PER nje na kumtumia Mfaransa mwenzie???????
 
Sababu ya AW kwa kuloose game ya Leo....[h=1]'Defensively we were not at the level needed'[/h]Swala ni hakujua hili kwa kumuacha PER nje na kumtumia Mfaransa mwenzie???????

Amempanga kwa sababu ya kuhofia PACE ya strikerz wa chelsea ndo imekula no way!
 
Hahaha! Alidhan 'invinsibles' n kazi rahis ka ku dive? Shenz, na msimu huu arsenol waisahau top five...mark my words.
Okay inawezekana but we will finish above you,sasa sijui wewe utakuwa wangapi!
 
Poleni sana Gunners wenzangu kwa kujikwaa siku ya leo.......Tujipange tu kwa mechi zijazo....

Ninachoweza kusema ni kwamba jirani zangu Chelsea ni wazuri sana msimu huu na nina uhakika watafanya vizuri sana msimu huu kama wataenda na mwendo huu.......Mpaka sasa sijaona timu nzuri na zinazocheza vizuri kama Arsenal na Chelsea.....

Gunners wenzangu msikonde wala nini na haya matokeo ya leo, tujipange tu kwa mechi zijazo....

Once a gooner...............Always a gooner.....

COYG
 
Afadhali mtotowashamba asije kuongea pumba humu. Kila mtu augulie kivyake.

Ila United's defense is really awful.
 
wewe mentor tafuta data utaona refa huyo vipi na Chelsick

Tor the res alifunga baada ya kufanya faulo ya kumvuta Kos tena kwa mikono miwili aibu ... ... thats how he can score, goli la pili la kubebwa na refa baada ya kupokea mpunga .... ...
 
Bado tunasubiri Giroud azoee ligi ndio aanze kuscore? Why Wenger kamweka Per Metersaker nje??


Naona hatulii, mechi ya tatu sasa anatu-cost, he need to be composed and finish off hawa walanguzi wa mchana kweupe wanaouza mbuzi kwenye gunia.
 
Back
Top Bottom